Waanzilishi na wafadhili wa CCJ, Sitta na Mwakyembe. Wanaotaka kuhamia CDM, Sitta na Mwakyembe. CCM fukuza hawa wanafiki before it is too late.
Masopakyindi hilo la maji kubadili njia linawezekana kwani ni juzi tu tulishuhudia kombe la uefa likiacha makazi yake ya munichi iliyoyazoea na kufurikia eneo la jangwa la london
kwani tatizo liko wapi,Lowasa akisema ukweli wa siri zote za richmond kwanini asipokelewe
Hivi ina maana siku zote watu wa Chadema mnasema EL ni fisadi kwa kuwa tu yuko CCM? Mnamaanisha EL akihamia Chadema basi ufisadi manaomtuhumu unabaki CCM?
Ndio maana sipendi siasa na kazi za kisiasa.
Pia nadhani ni muda muafaka CDM wawe na wasemaji rasmi kwa mambo rasmi.
Mimi sioni potentiality yoyote kwa hao magamba 3 kujiunga CDM. Kwa sababu tofauti, watatu hawa ni wahanga wa CCM-Kikwete. Inawezekana wanahamishia vita yao uwanja tofauti tu. Inawezekana sio kwamba ni wazalendo au wameamua kuachana na udhalimu wa CCM bali wana-explore new ventures in political spheres justs as Shibuda.
Lema amewataja Ndg. Edward Ngoyai Lowassa, Ndg. Samweli Sitta na Ndg. Harisson George Mwakyembe kuwa ni kati ya vigogo walioomba kuhama kutoka CCM kuja CDM.
Source:
Nimehudhuiria mkutano wake wa jana!
Huyo anatania tu. Haiwezekani wahasimu wakubwa kuhamia chama kimoja. Labda ni strategy ya Lema ya kuwagonganisha vichwa.
Mkuu mbona wote wako CCM sasa hivi na hushangai?
watu mnavichwa vigumu sana humu tunakuambia ufisadi ndani ya ccm ni mfumo,Hivi ina maana siku zote watu wa Chadema mnasema EL ni fisadi kwa kuwa tu yuko CCM? Mnamaanisha EL akihamia Chadema basi ufisadi manaomtuhumu unabaki CCM?
Ndio maana sipendi siasa na kazi za kisiasa.
Viongozi wa chadema waangalie sana kauli zao majukwaani..!
| ||
|