Lema kufufua mgogoro wa Meya Arusha

Lema kufufua mgogoro wa Meya Arusha

R.B

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
6,296
Reaction score
2,578
MBUNGE wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amesisitiza kutomtambua Meya wa Jiji la Arusha, Gaudence Lyimo huku akieleza nia yake ya kumbana Spika wa Bunge, Anne Makinda kuandaa majibu ya hoja yake aliyoiwasilisha bungeni akimtuhumu Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuwa alilidanganya Bunge kuhusu uchaguzi wa meya huyo.


Alisema hiyo ndiyo itakuwa agenda yake ya kwanza anayotarajia kuifanya wakati wa kikao cha Bunge kinachotarajiwa kuanza Februari mwakani
“Nasisitiza kuwa Waziri Mkuu, alilidanganya Bunge kuhusu chanzo cha maandamano yaliyofanyika Januari 5, mwaka uliopita yaliyosababisha vifo vya watu watatu pia Uchaguzi wa Meya wa Jiji la Arusha,” alisema Lema na kuongeza:


“Nataka nikute majibu ya hoja yangu mezani. Kama mimi nilisema uongo, basi niliombe Bunge radhi na kama Waziri Mkuu alisema uongo ijulikane hadharani,” alisema Lema.
Aliongeza kwamba alisikitishwa na kauli ya Spika Makinda, kuzima hoja yake bungeni, licha ya kutakiwa kuweka hadharani maelezo yake, kama ilivyoombwa na Mnadhimu wa Kambi wa upinzani bungeni, Tundu Lissu.


“Walinitaka nitoe maelezo juu ya kauli yangu kuwa Waziri Mkuu amelidanganya Bunge, nikawapa na ushahidi wote tangu mwezi Februari, lakini wamekaa kimya na Spika akasema mbunge akiondolewa na hoja yake imekufa. Sasa narudi Bunge lijalo nataka nikute majibu yangu,” alisema Lema.


Akizungumzia suala la Lyimo, Lema alisema msimamo wake na chama chake ni uleule wa kutomtambua Meya huyo na kusisitiza kuwa hatashirikiana naye kwa kuwa hakupatikana kihalali.


“Msimamo wangu ni uleule Arusha haina Meya na bado naitaka Serikali kuitisha uchaguzi wa meya kwani aliyepo siyo halali,” alisema.


Alisema ingawa CCM ndicho chenye madiwani wengi katika Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Arusha na anajua uchaguzi ukirudiwa CCM itashinda, lakini anachotaka ni kujenga misingi ya kuheshimu sheria na taratibu.


“Mgogoro huu ulisababisha tupoteze madiwani watano na msimamo wa Chadema bado haujabadilika hadi sasa. Nitashauriana na Kamati Kuu (ya Chadema), kuona hatua zaidi tunazoweza kuchukua kama Serikali ikikaa kimya na moja ya hatua hizo ni kumfungia milango meya asifanye kazi,” alisema Lema.
 
Naunga mkono hoja 100%

Kamanda Lema, anajua wazi magamba hawawezi kufanya kitu, zaidi ya hila kama hizo za kuwahonga na kuwarubuni madiwani waliotimuliwa hapo Arusha mjini na wale wa Mwanza. Kamanda tunasubiri makeke yako huko mjengoni, Kwani waziri mkuu hapati usingizi na hata kusikia umerudi mjengoni.:bange:
 
Right after the court's decision to reinstate this MP was rendered, it was very clear to any sensible mind that Arusha was in for yet another direction-less period of leadership. If there's anything he has been able to achieve in his time as a representative, it's to engage in unnecessary wranglings with other leaders and (to) instil his voters with a sense of hatred against the government and its official. He appears not to have renounced this habit even after being threatened to be stripped of his position, but seems to be more determined to continue his bellicoseness with greater force. Arusha really deserves better than this.
 
Kamanda Lema!...mwendo mdundo hadi kieleweke, tunaimani na wewe na tunakuunga mkono
 
Right after the court's decision to reinstate this MP was rendered, it was very clear to any sensible mind that Arusha was in for yet another direction-less period of leadership. If there's anything he has been able to achieve in his time as a representative, it's to engage in unnecessary wranglings with other leaders and (to) instil his voters with a sense of hatred against the government and its official. He appears not to have renounced this habit even after being threatened to be stripped of his position, but seems to be more determined to continue his bellicoseness with greater force. Arusha really deserves better than this.

If you admire arusha to deserve better than Lema,i tell you there is no any better in arusha than G.Lema
 
Right after the court's decision to reinstate this MP was rendered, it was very clear to any sensible mind that Arusha was in for yet another direction-less period of leadership. If there's anything he has been able to achieve in his time as a representative, it's to engage in unnecessary wranglings with other leaders and (to) instil his voters with a sense of hatred against the government and its official. He appears not to have renounced this habit even after being threatened to be stripped of his position, but seems to be more determined to continue his bellicoseness with greater force. Arusha really deserves better than this.

It's until when the ccm government will let democracy take its course,when things will go back to normal,otherwise this is what will remain of Arusha till next elections
 
Right after the court's decision to reinstate this MP was rendered, it was very clear to any sensible mind that Arusha was in for yet another direction-less period of leadership. If there's anything he has been able to achieve in his time as a representative, it's to engage in unnecessary wranglings with other leaders and (to) instil his voters with a sense of hatred against the government and its official. He appears not to have renounced this habit even after being threatened to be stripped of his position, but seems to be more determined to continue his bellicoseness with greater force. Arusha really deserves better than this.

Whatever your criticism is but Lema is the Leader and we all need a leader like him and non any other
 
Right after the court's decision to reinstate this MP was rendered, it was very clear to any sensible mind that Arusha was in for yet another direction-less period of leadership. If there's anything he has been able to achieve in his time as a representative, it's to engage in unnecessary wranglings with other leaders and (to) instil his voters with a sense of hatred against the government and its official. He appears not to have renounced this habit even after being threatened to be stripped of his position, but seems to be more determined to continue his bellicoseness with greater force. Arusha really deserves better than this.

Lema anapambana kuwatetea watoto wa maskini ili wasome vizuri waongee kidhungu kizuri kama wewe ambaye baba ako ni mwizi fisadi aliiba hela akakupeleka kusoma LONDON.
 
Right after the court's decision to reinstate this MP was rendered, it was very clear to any sensible mind that Arusha was in for yet another direction-less period of leadership. If there's anything he has been able to achieve in his time as a representative, it's to engage in unnecessary wranglings with other leaders and (to) instil his voters with a sense of hatred against the government and its official. He appears not to have renounced this habit even after being threatened to be stripped of his position, but seems to be more determined to continue his bellicoseness with greater force. Arusha really deserves better than this.

Mh..
Jamani oneni wenyewe.. Huyu nae ni ccm
 
Jana nilisikia akitambulishwa uwanjani kwenye pambano la Cheka na Mmalawi eti mgeni rasmi stahiki Meya nilitamani kama ningekuwemo humo uwanjani...
 
Lema tupo pamoja sn! Hatuwez kuwakumbatia viongozi wasioingia kilali, uchaguz urudiwe hata kama watashinda.
 
Right after the court's decision to reinstate this MP was rendered, it was very clear to any sensible mind that Arusha was in for yet another direction-less period of leadership. If there's anything he has been able to achieve in his time as a representative, it's to engage in unnecessary wranglings with other leaders and (to) instil his voters with a sense of hatred against the government and its official. He appears not to have renounced this habit even after being threatened to be stripped of his position, but seems to be more determined to continue his bellicoseness with greater force. Arusha really deserves better than this.

Whatever it takes, Lema remains as an absolute revolutionist.............................. whether you make it or break it, Arusha deserves nothing than Lema
 
Jana nilisikia akitambulishwa uwanjani kwenye pambano la Cheka na Mmalawi eti mgeni rasmi stahiki Meya nilitamani kama ningekuwemo humo uwanjani...

lema ni kama kuku wakuchora, hawiki, hadonoi, Hali na hafai kwa nyama wala kwa mayai
 
Back
Top Bottom