Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,629
- 1,950
You sound hopeless than magamba themselves.
lema ni kama kuku wakuchora, hawiki, hadonoi, Hali na hafai kwa nyama wala kwa mayai
You sound hopeless than magamba themselves.
lema ni kama kuku wakuchora, hawiki, hadonoi, Hali na hafai kwa nyama wala kwa mayai
Jana nilisikia akitambulishwa uwanjani kwenye pambano la Cheka na Mmalawi eti mgeni rasmi stahiki Meya nilitamani kama ningekuwemo humo uwanjani...
mkuu mbona haukunijulisha? tungekuja kumzodoa makavu live
huyu lema ataacha lini ugomvi.
lema ni kama kuku wakuchora, hawiki, hadonoi, Hali na hafai kwa nyama wala kwa mayai