Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema Amemwambia kinana anastahili kujiunga na futuhi
**Amekuja arusha kupokea viongozi wa CCM akidai wanatoka CHADEMA
**Palapala ni mwenyekiti wa kijiji cha Waso kwa tiketi ya ccm leo anadai amepokea kiongozi wa CHADEMA
**Ole Selanga alifukuzwa chadema toka Nov 2013 leo anadai kapokea mwenyekiti wa cdm wilaya
Alipita soko la kilombero kakuta mama anafagia kasimamisha msafara naye kaanza kufagia
Amemtaka aache kupiga kelele na kuwatukana mawaziri wake ovyo kama anaona hawawezi kazi aache sanaa amfuate mwenyekiti wake amueleze wawatoe.
**Soko la Kilombero hakuna mwananchi atakayehamishwa utafanyika ujenzi wa ghorofa kwenye kile kiwanja kulichoibwa kisha watahamia huko ndipo ujenzi uanze kilombero sokoni
**Hospitali ya mama na mtoto tayari ameshasaini mkataba ujenzi wa hospitali na chuo cha uuguzi uataanza kabla ya kampeni za uchaguzi kuanza
**Ambulance ziko mbili UK zitapakiwa alhamisi kuja Tanzania
**Trekta lipo
**Watoto wa shule aliowalipia mwaka wa kwanza baada ya hapo alizungumza na Mkurugenzi akatoa maelekezo kwenye shule zote watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na wasio na uwezo wasitozwe Ada na limetekelezwa kwani hakuna mzazi aliyelalamika
**Kinana aliwahi kuwa mbunge wa arusha hakuna wakati maeneo ya wazi yakiuzwa kama kipindi hicho na ni vema akaeleza ilipo mashine ya kufua nguo ya hospital ya mt Meru....
**Amekuja arusha kupokea viongozi wa CCM akidai wanatoka CHADEMA
**Palapala ni mwenyekiti wa kijiji cha Waso kwa tiketi ya ccm leo anadai amepokea kiongozi wa CHADEMA
**Ole Selanga alifukuzwa chadema toka Nov 2013 leo anadai kapokea mwenyekiti wa cdm wilaya
Alipita soko la kilombero kakuta mama anafagia kasimamisha msafara naye kaanza kufagia
Amemtaka aache kupiga kelele na kuwatukana mawaziri wake ovyo kama anaona hawawezi kazi aache sanaa amfuate mwenyekiti wake amueleze wawatoe.
**Soko la Kilombero hakuna mwananchi atakayehamishwa utafanyika ujenzi wa ghorofa kwenye kile kiwanja kulichoibwa kisha watahamia huko ndipo ujenzi uanze kilombero sokoni
**Hospitali ya mama na mtoto tayari ameshasaini mkataba ujenzi wa hospitali na chuo cha uuguzi uataanza kabla ya kampeni za uchaguzi kuanza
**Ambulance ziko mbili UK zitapakiwa alhamisi kuja Tanzania
**Trekta lipo
**Watoto wa shule aliowalipia mwaka wa kwanza baada ya hapo alizungumza na Mkurugenzi akatoa maelekezo kwenye shule zote watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na wasio na uwezo wasitozwe Ada na limetekelezwa kwani hakuna mzazi aliyelalamika
**Kinana aliwahi kuwa mbunge wa arusha hakuna wakati maeneo ya wazi yakiuzwa kama kipindi hicho na ni vema akaeleza ilipo mashine ya kufua nguo ya hospital ya mt Meru....