Lema: Kikombe kikijaa lazima maji yamwagike

Unaingia benk na Sime kwa sababu zipi hasa??hata masai wanaacha sime nyumbani au kwenye gari wanapoingia benki....Tuwapeleke frontline mkatusaidie kutambua wabeba silaha wasio na madhara


Tuache siasa hadi 2020...hizi ndizo siasa inazotakiwa tuziache.
Nionyeshe pale mada inapozungumzia Sime!!! Unafiki Tu!!
 
Nchi haina dini.
Kwa hiyo "uki kejiliwa" tu utamaindi sana siyo na kuanzisha "vagi" kwa sbb ya "kejeli" toka kwa "mkejeli?"

Hujui kuwa wewe unaye maindi ndiye utakuwa na shida ktk judgement yako kuliko aliye kukejeli?

Kama wewe ni muumini wa dini ya kikristo i.e mkristo nishushauri uende ukasome kitabu kitakatifu cha Biblia (New Testament) kuhusu kiongozi shujaa na mfalme wa wafalme Yesu Kristo kuanzia kitabu cha Mathayo Mtakatifu hadi Ufunuo, utajifunza mengi sana juu ya kuzishinda kejeli.

Hakuna kiongozi yeyote mkubwa aliyewahi kuishi ktk dunia hii na kupokea kejeli za hali ya juu kama YESU KRISTO na kamwe hakuwahi kugombana wala kulipiza kisasi dhidi wakejeli wake ambao walifikia hatua mpaka ya kumtemea mate na yeye kamwe hakuwahi hujali zaidi ya kusema "baba wasamehe kwa kuwa hawajui walitendalo!"

Hawakuona hilo linatosha kwani huyu ndugu pamoja na kukejeliwa saaana, hakuwahi kuanzisha vurugu japo alikuwa na nguvu na mamlaka ya kuwaangamiza wote kufumba na kufumbua tu!!

Mwisho waliona huyu mtu dawa yake ni kumuua tu tena kwa kifo cha fadhaa na kutisha. Yet he went on loving all na leo hii bila yeye mimi na wewe si kitu!!

Ukimuona mtu "ana maindi" hata kejeli za mwendawazimu wakati yeye anajijua ni "timamu" jiulize mara mbili mbili kuhusu utimamu wake na pengine tambua mara moja kuwa yeye ndiye hasa mwendawazimu!!
 
Unaingia benk na Sime kwa sababu zipi hasa??hata masai wanaacha sime nyumbani au kwenye gari wanapoingia benki....Tuwapeleke frontline mkatusaidie kutambua wabeba silaha wasio na madhara


Tuache siasa hadi 2020...hizi ndizo siasa inazotakiwa tuziache.
wasalimie lumumba
 
Nimesikiliza hiyo audio ya Lema hakika ameongea ukweli hazitaisha siku mbili utasikia ameitwa kuhojiwa polisi
 
Nimesikia clips yenye sauti inayofanana na Godbless Lema.Akisisitiza dikteta uchwara na kusema kama rais alisisitiza polisi wanyanganye bunduki harakaharaka vipi raia mwema akiingia benki na slaha yake"Na ikaonekana bahati mbaya"Polisi anayelinda Si ataichukua harakaharaka kwa kumua?

Ameendelea kusisitiza hii nchi si ya mtu mmoja ni ya watanzania,Amesema kikombe kikijaa maji yatamwagika.Maana Tanzania hawana jeshi imara kama ilivyokuwa Libya au Misri lakini viongozi wao walidondoshwa.

Nimeshindwa kuiweka clips yenyewe ila kwa speed inayo sambaa itakuwa hapa JF muda si mrefu.Namwona lema naye akienda kuhojiwa polisi kesho.Kazi ipo.
Tunajua kwa sababu yeye ni mhusika mkuu lazima apinge agizo
 
Mwaka huu siasa za TZ zzinaingia kwenye historia ya aina yake:-

- mtu anaitwa DIKTETA uchwara halafu anawakosesha hao wanaomwita usingizi. Sasa akiamua kuwa DIKTETA wa UKWELI si watahama nchi??

- Bunge lililopita walimtukana Madame Spika na kumuita Bi. Mkora!!! Leo kapatikana Iron Lady wanaume wanaojisifu wamempa kisogo!! Adui akikupa kisogo what else do you need?? Kweli Baraka za Ibrahim kuhusu kumiliki malango ya adui inatimia.

- Rais wetu mstaafu JK aliitwa Mzee DHAIFU, Mr. Fast Jet nk na tukaaminishwa yupo Mzee mmoja anaweza kuwa na maamuzi MAGUMU apewe nchi. Hawa ndg wakafika mbali na kusema wanataka Rais DIKTETA ili nchi inyooke!!! Leo wamegeuka Kama mke wa Lutu na wamekuwa nguzo ya chumvi!!

- Leo tumepata Rais mwenye maamuzi makini wale waliokuwa wanajipambanua kupigania haki za wanyonge na kupinga mafisadi wamegeuka makuwadi wa mafisadi.

Tutayaona mengi mwaka huu. Naiona TZ mpya hiyooooo!!! Hata mama kabla ya kujifungua anapitia maumivu ya labor, tuvumilie maumivu ya kunyooshwa mkono uliopinda ili TZ mpya izaliwe.

Tufanye kazi pamoja kuijenga Tanzania mpya. Mwacheni Mhe. Rais na Serikali yake atimize ahadi zake mkampime baada ya miaka 5. Uchaguzi ulishaisha hapa NI kazi tu!

Queen Esther

Nimesikia clips yenye sauti inayofanana na Godbless Lema.Akisisitiza dikteta uchwara na kusema kama rais alisisitiza polisi wanyanganye bunduki harakaharaka vipi raia mwema akiingia benki na slaha yake"Na ikaonekana bahati mbaya"Polisi anayelinda Si ataichukua harakaharaka kwa kumua?

Ameendelea kusisitiza hii nchi si ya mtu mmoja ni ya watanzania,Amesema kikombe kikijaa maji yatamwagika.Maana Tanzania hawana jeshi imara kama ilivyokuwa Libya au Misri lakini viongozi wao walidondoshwa.

Nimeshindwa kuiweka clips yenyewe ila kwa speed inayo sambaa itakuwa hapa JF muda si mrefu.Namwona lema naye akienda kuhojiwa polisi kesho.Kazi ipo.
 
Huyu Mbunge wetu ni Bingwa wa kununua kesi. Arusha tunajuta kumchagua kwakweli ila sio mbaya 2020 sio mbali sana. Wana Arusha tutafanya kama walivyofanya wana Ilemela na Nyamagana.
Kajitu kamoja kamejificha nyuma ya keyboard kanawasemea wana wa Arusha mjini eti kakijinadi ni kakutoka Arusha mjini!
Hovyo kabisa!
 
Unaingia benk na Sime kwa sababu zipi hasa??hata masai wanaacha sime nyumbani au kwenye gari wanapoingia benki....Tuwapeleke frontline mkatusaidie kutambua wabeba silaha wasio na madhara


Tuache siasa hadi 2020...hizi ndizo siasa inazotakiwa tuziache.
Hivi ule mgobore bwana mkulu alioupeleka kuhakiki huwa anatembea nao?
 
Unaweza kutwambia nani ambaye hutukana na tusi lipi alitumia dhidi ya nani?? Ukishindwa basi nawe in mfuasi wa mropokaji dikteta uchwara
Nakuona ulivyo kilaza.... Mwenzio sasa hivi anapigwa baridi polisi....

Tofauti yake ni kwamba yeye atatetewa na kuachiwa ika wewe utapotea moja kwa moja...
 
Unaingia benk na Sime kwa sababu zipi hasa??hata masai wanaacha sime nyumbani au kwenye gari wanapoingia benki....Tuwapeleke frontline mkatusaidie kutambua wabeba silaha wasio na madhara


Tuache siasa hadi 2020...hizi ndizo siasa inazotakiwa tuziache.
Tuna sheria inayoruhusu kumiliki silaha, ifuatilie kama sheria hiyo inazuia mtu mwenye silaha yake kihalali kuingia nayo benki anapoenda kuchukua fedha! Ukifahamu hili utaelewa anachokisema Lema.
 
Tuna sheria inayoruhusu kumiliki silaha, ifuatilie kama sheria hiyo inazuia mtu mwenye silaha yake kihalali kuingia nayo benki anapoenda kuchukua fedha! Ukifahamu hili utaelewa anachokisema Lema.
Kuna Sheria ukiwa na zaidi ya Sh 20000 upate ulinzi wa polisi wa kukusindikiza
 
Kuna Sheria ukiwa na zaidi ya Sh 20000 upate ulinzi wa polisi wa kukusindikiza
Mbona unachepuka? Tunazungumzia sheria inayoruhusu mtu kumiliki silaha, je sheria hiyo inamzuia mtu huyo kuingia na silaha hiyo benki?
 
Back
Top Bottom