mobyou
Member
- Jan 12, 2016
- 16
- 5
ukiweza kuniambia hilo jina lako ulilitoa wapi nitashukuru sana. angalia watu wote wenye majina ya ajabu ajabu hua na tabia zao zina shabiana. nimegundua kwanini wazee wa zamani walikua wanawapa watoto wao majina ya mahali wanapotokea.. !!!! kweli we jingalao haahaahahahahaUnaingia benk na Sime kwa sababu zipi hasa??hata masai wanaacha sime nyumbani au kwenye gari wanapoingia benki....Tuwapeleke frontline mkatusaidie kutambua wabeba silaha wasio na madhara
Tuache siasa hadi 2020...hizi ndizo siasa inazotakiwa tuziache.