Lupyeee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 2,683
- 2,818
UFIPA mtatetea kila ushuzi mwaka huu, hamna tena ajenda ya kukomboa watanzania.
Kuanzia, mafisadi, vilaza, wakwepa kodi ,watukana matusi, majambazi ,wazembe kwa sasa mtetezi na kimbilio lao ni chadema!!!!.
Hiki ndio chama mbadala cha kuitoa ccm!!!.
Mtasubiri miaka 109 ijayo.
Kuanzia, mafisadi, vilaza, wakwepa kodi ,watukana matusi, majambazi ,wazembe kwa sasa mtetezi na kimbilio lao ni chadema!!!!.
Hiki ndio chama mbadala cha kuitoa ccm!!!.
Mtasubiri miaka 109 ijayo.