Lema: Kikombe kikijaa lazima maji yamwagike

Lema: Kikombe kikijaa lazima maji yamwagike

Mbona unachepuka? Tunazungumzia sheria inayoruhusu mtu kumiliki silaha, je sheria hiyo inamzuia mtu huyo kuingia na silaha hiyo benki?
Yap, unapaswa kuikabidhi kwa polisi anaelinda bank hyo kwa maandishi...
 
Yap, unapaswa kuikabidhi kwa polisi anaelinda bank hyo kwa maandishi...
Sawa mkuu Iwamusani, angalau wewe umesaidia hapa. Sasa kwa muktadha huo huo, anachokieleza Lema kwenye hiyo clip kinaweza kuwa na mantiki.
 
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema akihojiwa na waandishi wa habari kwenye kesi ya ameshangaa wapinzani wanavyopelekwa mahakamani wakiikosoa serikali ilihali wao ndio wanaoibua madhaifu ya serikali kisha kufanyiwa kazi, amesema hawatakubali nchi hii itawaliwe kifalme na wanajua watapelekwa wengi mahakamani na wapo tayari hata kwa damu yao nchi hii itawaliwe kwa uwazi na demokrasia na sio kauli na mawazo ya mtu mmoja

 
Lema naye wa kumsikiliza?.Kigeugeu wa kutupwa na genge lake hebu waangalie

13233029_1590768097881921_7440964151336377693_n-jpg.360620
 
Kila siku kutishia tu, si mmwage sasa hizo damu zenu tuone??

Mara tutachukua nchi asubuhi, ikishinda ccm nchi haitatawalika, maandamano yasiyo na kikomo.
Yote haya sababu ya uanasheria uchwara
 
Nchi bado inapigania Uhuru na wazalendo Viva Lema viva Lisu
 
Lema naye wa kumsikiliza?.Kigeugeu wa kutupwa na genge lake hebu waangalie

13233029_1590768097881921_7440964151336377693_n-jpg.360620
Huna jippya wewe, hili bango umelishupalia kama ngao yako kihoja.
Inawezekana bila kuziona hizi sura roho yako hairidhiki, sasa hili bango kalibandike hadi chumbani kwako unakolaza mgongo.
 
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema akihojiwa na waandishi wa habari kwenye kesi ya ameshangaa wapinzani wanavyopelekwa mahakamani wakiikosoa serikali ilihali wao ndio wanaoibua madhaifu ya serikali kisha kufanyiwa kazi, amesema hawatakubali nchi hii itawaliwe kifalme na wanajua watapelekwa wengi mahakamani na wapo tayari hata kwa damu yao nchi hii itawaliwe kwa uwazi na demokrasia na sio kauli na mawazo ya mtu mmoja


Rema Vs Johny, wenyewe kwa wenyewe. Very good.
 
Hata kama kuwashauri ni sawa na kujigeuzia mdomo wa bunduki usoni kwako, tuwaambie wanasiasa wafanye kazi sasa harakati alifanya dr slaa wananchi wanahitaji kuhudumiwa wala si kesi mfululizo kama umaarufu tayari wanao!
 
Kila siku kutishia tu, si mmwage sasa hizo damu zenu tuone??

Mara tutachukua nchi asubuhi, ikishinda ccm nchi haitatawalika, maandamano yasiyo na kikomo.
Yote haya sababu ya uanasheria uchwara
8bee2840b03ff9e128a310c9c59710ce.jpg

Hawa ndo walimwaga damu ya kweli lakini mwisho wake wakaitwa wasaliti.
 
Hata kama kuwashauri ni sawa na kujigeuzia mdomo wa bunduki usoni kwako, tuwaambie wanasiasa wafanye kazi sasa harakati alifanya dr slaa wananchi wanahitaji kuhudumiwa wala si kesi mfululizo kama umaarufu tayari wanao!
Hapo ni polisi na Sirro ndio wanaotafuta umaarufu katika awamu hii, kama ilivyokwa kwa Mahita kipindi kile na Kova.
 
Huyu Mbunge wetu ni Bingwa wa kununua kesi. Arusha tunajuta kumchagua kwakweli ila sio mbaya 2020 sio mbali sana. Wana Arusha tutafanya kama walivyofanya wana Ilemela na Nyamagana.
kwamba mtaiba kura au?
 
Huyu Mbunge wetu ni Bingwa wa kununua kesi. Arusha tunajuta kumchagua kwakweli ila sio mbaya 2020 sio mbali sana. Wana Arusha tutafanya kama walivyofanya wana Ilemela na Nyamagana.



We hutomchagua sisi tutamchagua tena kwa Kura za kutosha

Tulishasema Arusha hata akisimama mbwa na mtu yyt wa familia ya Lumumba tutamchagua dog tena kwa kishindo

Kura za wananalumba ziko huko Lindi ambako bado wapo kwenye stone age
 
Huyu Mbunge wetu ni Bingwa wa kununua kesi. Arusha tunajuta kumchagua kwakweli ila sio mbaya 2020 sio mbali sana. Wana Arusha tutafanya kama walivyofanya wana Ilemela na Nyamagana.
aaah!! acha UNAFIKI et Tumemchoka wakati wewe Upo LUMUMBA sasa hiv au UNADHANI sikujui??!!
 
Back
Top Bottom