Lema, katika hili umekosea sana!

Lema, katika hili umekosea sana!

Sijakuelewa vizuri mheshimiwa. Unapomkosoa Lema tazama na upande wa pili. Hivi ni nani ukimpeleka London haji kusimulia. Waliompeleka Lema hapo hawakujua athari zake. Lema amepata pointi ya kuzungumzia kwenye majukwaa. Mahakama inapelekewa watu tu nao kwa sababu ya kushinikizwa huwashilkilia watuhumiwa kwa makosa madogo ya kusingiziwa.
 
huyo lema anajidai tuu hana lolote liccm damu hilo atuache na chadema yetu...litarudi tu ccm one day
 
Jana umenukuliwa ukiongelea mambo mbalimbali yahusuyo gereza, wafungwa na mahabusu waliopo katika gereza kuku la Kisongo. Uliongea mengi. Lakini pamoja na yote, pia aligusia namna mahabusu wa ugaidi wanavyotendwa.

Kwa madai yake eti;

Mosi, wanaonewa!

Pili, kwa alivyofanya utafiti eti wale mahabusu hawana hatia.

Tatu na ndipo hasa hoja yangu ilipo ni kuhusu mahabusu hawa watasababisha machafuko ya kidini. Ndg Lema, tokea lini wewe ni mahakama? Je kama siye, kwanini unatoa hukumu ya eti watu hao wanaonewa?

Jamani, tuziache mahamaka zifanye kazi yake. Binafsi bado naamini mahakama ni chombo huru kabisa. Na ndiyo maana hata ninyi wapinzani na hata ukiwapo wewe Lema daima zimekuwa zikiwatendea haki na ninyi kuzipongeza.

Tusiwe watu wa kuiamini mahakama pale tu inapotenda haki kwa upande wenu tu na kuiona mahakama siyo mtenda haki wakati isipokuwa upande wenu.

Mchana mwema.
Tatizo uchunguzi .muda Wa kusubiri uchunguzi unaweza zidi muda Wa kifungo .miaka 5 uchunguzi !!!???
 
Jana umenukuliwa ukiongelea mambo mbalimbali yahusuyo gereza, wafungwa na mahabusu waliopo katika gereza kuku la Kisongo. Uliongea mengi. Lakini pamoja na yote, pia aligusia namna mahabusu wa ugaidi wanavyotendwa.

Kwa madai yake eti;

Mosi, wanaonewa!

Pili, kwa alivyofanya utafiti eti wale mahabusu hawana hatia.

Tatu na ndipo hasa hoja yangu ilipo ni kuhusu mahabusu hawa watasababisha machafuko ya kidini. Ndg Lema, tokea lini wewe ni mahakama? Je kama siye, kwanini unatoa hukumu ya eti watu hao wanaonewa?

Jamani, tuziache mahamaka zifanye kazi yake. Binafsi bado naamini mahakama ni chombo huru kabisa. Na ndiyo maana hata ninyi wapinzani na hata ukiwapo wewe Lema daima zimekuwa zikiwatendea haki na ninyi kuzipongeza.

Tusiwe watu wa kuiamini mahakama pale tu inapotenda haki kwa upande wenu tu na kuiona mahakama siyo mtenda haki wakati isipokuwa upande wenu.

Mchana mwema.

Pole sana mkuu mpaka leo hujagundua Lema ni mgonjwa wa akili??? Jiulize wapiga kura wa Arusha walimtuma kwenda gerezani kutetea wafungwa?
 
Back
Top Bottom