Lema awasha moto tena chuo cha uhasibu

Kaza buti LEMA, kazi ndio kwanza inaanza ila usije kuvimba kichwa unapoona mafanikio ya kisiasa kupitia kwako
 
Zitto hajawahi kufanya kazi ya kuimarisha chama bali kujiimarisha yeye ndani ya chama kwa kuwawezesha mademu na vibaraka wake ili wamsapoti katika kuua chama

Inawezekana kweli hajafanya kazi ya kuimarisha chama kwa mtazamo fulani wsalio nao wana CDM lakini amekuwa chachu ya mageuzi mahali fulani, kwa wakati muafaka.
 
Zitto hajawahi kufanya kazi ya kuimarisha chama bali kujiimarisha yeye ndani ya chama kwa kuwawezesha mademu na vibaraka wake ili wamsapoti katika kuua chama

Inawezekana kweli hajafanya kazi ya kuimarisha chama kwa mtazamo fulani walio nao wana CDM lakini amekuwa chachu ya mageuzi mahali fulani, kwa wakati muafaka.
 
Kama CDM kingekuwa chama cha siasa kingeongozwa na Mh. Zitto kama mwenyekiti wake, kwa sababu:
  1. An elimu ya kutosha (Masters degree)
  2. Kijana mwenye nguvu (30+ years)
  3. Ana Caliber
  4. Ana ufuasi pande zote za nchi
  5. Hakurupuki na mstahamilivu (Angalia anavyopigwa vita na wenzake)
  6. Hana ukanda wala udini
Lakini kwa sababu chadema ni kampuni ya watu binafsi, inaweza kuongozwa na Mbowe, Lema, ambao:
  1. Elimu zao zina mashaka
  2. Family members wa kampuni owners
  3. Hawana mvuto wa kisiasa
  4. Full mihasira, jazba na tafakari finyu
  5. Wanendeleza ukanda na udini!
  6. ------------------------
 
That is a dream of a politically blind person.
We can't allow a former criminal to be our president.
Never in this lovely country of ours...PERIOD!

Kishongo,

Haya ni matusi kwa wananchi wa Arusha waliomchagua Lema kuwa mbunge wao. Kama alikuwa ni criminal na una ushahidi kwa nini usimpeleke mahakamani akahukumiwe kutokana na matendo yake ya awali?

This is cheap character assassination.

Tiba
 
pamoja sana Lema! itakuwa vizuri zaidi kama makamanda wengine wa CDM watawarudia wanachama na kuimarisha matawi kwa kuwapa darasa kuhusu falsafa, malengo na madhumuni ya chama . Hii itawajengea wanachama uelewa mkubwa na nafasi ya kuingia katika mapambano ya kulikomboa taifa.
 
I do appreciate that Lema might be my President for the future to come
 
BIG UP LEMA!! hao 90 kwa kutambua walkuwa in wrong way ni ujasiri na mwendelezo wa mabadiliko
kilichobaki wanatakiwa wapeleke nuru hiyo kwa walio gizani
TANZANIA YA MAFANIKIO NA MAENDELEO YA KWELI INAWEZEKANA!!!
 
Zitto hajawahi kufanya kazi ya kuimarisha chama bali kujiimarisha yeye ndani ya chama kwa kuwawezesha mademu na vibaraka wake ili wamsapoti katika kuua chama

mkuu we umemkosea adabu mbunge wangu Zitto. Licha ya kuwa mbunge wangu pia ni mwana Jf mwenzangu,jamani sidhani kama umemtendea haki usitadh Zitto! Mkuu,nakuheshimu ila apa kwa kweli umenikwaza!
 
Kama CDM kingekuwa chama cha siasa kingeongozwa na Mh. Zitto kama mwenyekiti wake, kwa sababu:
  1. An elimu ya kutosha (Masters degree)
  2. Kijana mwenye nguvu (30+ years)
  3. Ana Caliber
  4. Ana ufuasi pande zote za nchi
  5. Hakurupuki na mstahamilivu (Angalia anavyopigwa vita na wenzake)
  6. Hana ukanda wala udini
Lakini kwa sababu chadema ni kampuni ya watu binafsi, inaweza kuongozwa na Mbowe, Lema, ambao:
  1. Elimu zao zina mashaka
  2. Family members wa kampuni owners
  3. Hawana mvuto wa kisiasa
  4. Full mihasira, jazba na tafakari finyu
  5. Wanendeleza ukanda na udini!
  6. ------------------------

Haya mapumziko,watu hawana kazi za muhimu wanachangia chochote watakacho,IJUMAA KUU MKUU,na u*** wako
 
That is a dream of a politically blind person.
We can't allow a former criminal to be our president.
Never in this lovely country of ours...PERIOD!

kishongo,in our venacular L.,kishongo mean "one eyed-man". With ur analysis,it surfices to be. After all,its better thought criminal but innocent Lema than a criminal soul of Kashanga. If we could name u amongst best trees u r the pawpaw tree,unsuitable neither for charcoal nor for building! Shay away with your uncouth be"head!". Learn to respect ou Members of Parliament!
 
Kama CDM kingekuwa chama cha siasa kingeongozwa na Mh. Zitto kama mwenyekiti wake, kwa sababu:
  1. An elimu ya kutosha (Masters degree)
  2. Kijana mwenye nguvu (30+ years)
  3. Ana Caliber
  4. Ana ufuasi pande zote za nchi
  5. Hakurupuki na mstahamilivu (Angalia anavyopigwa vita na wenzake)
  6. Hana ukanda wala udini
Lakini kwa sababu chadema ni kampuni ya watu binafsi, inaweza kuongozwa na Mbowe, Lema, ambao:
  1. Elimu zao zina mashaka
  2. Family members wa kampuni owners
  3. Hawana mvuto wa kisiasa
  4. Full mihasira, jazba na tafakari finyu
  5. Wanendeleza ukanda na udini!
  6. ------------------------

Majungu ya wana gamba hayoo. Teh!
Wanatamani mshike mshike wa gamba uhamie CDM ili kubalance mambo. Wenzio wemeshastuka!!!!
 
Zitto hajawahi kufanya kazi ya kuimarisha chama bali kujiimarisha yeye ndani ya chama kwa kuwawezesha mademu na vibaraka wake ili wamsapoti katika kuua chama

Hii statement haina ukweli kabisa. Zitto amefanyakazi kubwa kuimarisha chadema, mchango wake hauwezi kuupuuzwa hata kidogo. Mfano: baada ya kusimamishwa bungeni juu ya sakata la Buzwagi, Zitto alizunguka sana nakumbuka alifika hadi mikoa ya kusini.
 
Zitto hajawahi kufanya kazi ya kuimarisha chama bali kujiimarisha yeye ndani ya chama kwa kuwawezesha mademu na vibaraka wake ili wamsapoti katika kuua chama


r u sure with what ur sayin....? Don jus spit out whatever comes out of ur STINKY mouth because you think u r not known.. take care
 
Kama CDM kingekuwa chama cha siasa kingeongozwa na Mh. Zitto kama mwenyekiti wake, kwa sababu:
  1. An elimu ya kutosha (Masters degree)
  2. Kijana mwenye nguvu (30+ years)
  3. Ana Caliber
  4. Ana ufuasi pande zote za nchi
  5. Hakurupuki na mstahamilivu (Angalia anavyopigwa vita na wenzake)
  6. Hana ukanda wala udini
Lakini kwa sababu chadema ni kampuni ya watu binafsi, inaweza kuongozwa na Mbowe, Lema, ambao:
  1. Elimu zao zina mashaka
  2. Family members wa kampuni owners
  3. Hawana mvuto wa kisiasa
  4. Full mihasira, jazba na tafakari finyu
  5. Wanendeleza ukanda na udini!
  6. ------------------------


ahsante .. umeongea ukweli.. lema ni mpenda FUJO.... mbowe ndo kabisaaa
 
Hii statement haina ukweli kabisa. Zitto amefanyakazi kubwa kuimarisha chadema, mchango wake hauwezi kuupuuzwa hata kidogo. Mfano: baada ya kusimamishwa bungeni juu ya sakata la Buzwagi, Zitto alizunguka sana nakumbuka alifika hadi mikoa ya kusini.

Wana jamvi tumsamehae gurudumu...tena litakua la KICHINA... BADO NI MTOTO katika siasa.. kifupi ni mpuuzi
 
Back
Top Bottom