Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Haina maana kama hujawahi kufanya chochote kwenye taifa hili au kwenye chama chake asihoji....kwa nafasi ya zitto ananafasi kubwa sana kufanya kazi za kichama....labda mimi sijui majukumu aliyo pewa na chama chake ila ningependa aongeze kasi kwenye shughuli za kichama...kuliko sasa maana naona kama vile kaziweka pembeni ninavyo muona ShibundaPropaganda, Zittophobiasis, wivu, majungu tu. We umewahi kufanya nini?