Mr. Django
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,830
- 2,424
Ukikaa na chuki kama zako unakuwa mchawi tu!! Sasa hapo mbona katambulishwa bila shida!!!!
Waambie waelewe.Kwan amani ya tanzania kuna aliyeileta?? au kuna anayeilinda??
Aman inayosemwa majukwaan ni maneno tu ya viongozi ila amani kwa tz ni kitu automatic kipo kilikuwepo kitakuwepo msitutishe nyie mambumbu wa Lumumba
Ndo unajua Leo?au sababu lema haumpendi?Hivi kumbe Tanzania kuna wafalme
Hadi Malaika wapoHivi kumbe Tanzania kuna wafalme
Walichoshangilia ni ile lugha iliyotumika kumtambulisha Lema sio kwamba walimshangilia lemaInawezekana wewe uwezo wa kutafsiri matukio ni mdogo.
Tukio lile kwa msomi mwenye upeo mpana anaweza kutoka na tafsiri nyingi. Kwa hiyo yawezekana matukio mengine yote ni ya kawaida ila lile halikuwa la kawaida.
Wananchi kumshangilia sana Lema, kuna kitu wanataka kumweleza Rais japo hawakupewa nafasi ya kuongea. Nafasi ndogo waliyopewa, waliamua kumfikisha ujumbe Rais. Na Rais kama ni mtu anayependa kusoma hisia za watu, ujumbe wao atakuwa ameupata ila wewe kwa bahati mbaya umeshindwa kuelewa uzito wa ujumbe wa wananchi kwa Rais.
Viwanda havihitaji siasa za majitaka za upinzani za kupinga kila kitu.Awamu ya Tano badala ya viwanda wamejikita kudidimiza Demokrasia wanajua Vyama vya upinzani vikiwa imara vitawazui kupiga Dili za 10% kwenye miladi na manunuzi mbali ya kitaifa kupitia pesa za walipa kodi kule Hazina, pesa inayotumika kudhoofisha upinzani ni pesa nyingi sana ni pesa ambazo zingeweza kujenga Hosptal za rufaa kila mkoa na kuajiri madaktari toka India na wagonjwa wote wakatibiwa nchini pasipo kupelekwa nje, pia Nchi Jiran wangekuja kutibiwa Tanzania na kuingiza pesa za kigeni kuongeza pato la Taifa.
Zipo aina nyingi za uongozi na ukiwa kiongozi unaruhusiwa kuzi apply kulingana na mazingira yaliyopoKutawala kwa mabavu ni aibu na fedheha.
Hivi kumbe Tanzania kuna wafalme
Kwani ni lazima kukubalika na watu wote.. Kristo tu hakupendwa na watu wote, na hakufanya siasaSiku akienda Mbeya ndio atajuta maana huko nako hawakubaliki hata kidogo.
Kuna kiongozi wa malaikaHivi kumbe Tanzania kuna wafalme
unashangaa wafalme wakati kuna viongozi wa malaikaHivi kumbe Tanzania kuna wafalme