Dongo La Kiemba
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 1,830
- 1,260
Upinzani una safari ndefu.
Hahahhhhha. Naona umejimilikisha mtandao ndugu. Hongera sana. Ukiendelea kuwa na mtazamo huo hautaleta mabadiliko yoyote yale. Kila siku utaendelea kuwa bendera tu. Jiongeze ndugu.Hustahili hata ku-comment jF kwa sababu ume-join juzi, tena umetumwa na lumumba ili muweke pumba zenu hapa jF, nyambafu