Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,063
- 11,109
Arusha tuko tofauti sana tunajiona kama hatuko sehem ya Tanzania.
Inawezekana wewe uwezo wa kutafsiri matukio ni mdogo.Kuna vitu huwa mnavi create ambavyo ni vya kijinga na wala havijengi. Hiki ulichokiandika ni ujinga. Kwa hiyo katika tukio zima la kusimikwa kwa askofu lililoendeshwa siku nzima hicho ndicho ulichoona cha maana kukiandika. Amani iliyohubiriwa pale wewe umeona ni kitu kidogo.
sasa kama kuna malaika kwanini asiwepo mfalume? ?Hivi kumbe Tanzania kuna wafalme
Awamu ya Tano badala ya viwanda wamejikita kudidimiza Demokrasia wanajua Vyama vya upinzani vikiwa imara vitawazui kupiga Dili za 10% kwenye miladi na manunuzi mbali ya kitaifa kupitia pesa za walipa kodi kule Hazina, pesa inayotumika kudhoofisha upinzani ni pesa nyingi sana ni pesa ambazo zingeweza kujenga Hosptal za rufaa kila mkoa na kuajiri madaktari toka India na wagonjwa wote wakatibiwa nchini pasipo kupelekwa nje, pia Nchi Jiran wangekuja kutibiwa Tanzania na kuingiza pesa za kigeni kuongeza pato la Taifa.Inawezekana wewe uwezo wa kutafsiri matukio ni mdogo.
Tukio lile kwa msomi mwenye upeo mpana anaweza kutoka na tafsiri nyingi. Kwa hiyo yawezekana matukio mengine yote ni ya kawaida ila lile halikuwa la kawaida.
Wananchi kumshangilia sana Lema, kuna kitu wanataka kumweleza Rais japo hawakupewa nafasi ya kuongea. Nafasi ndogo waliyopewa, waliamua kumfikisha ujumbe Rais. Na Rais kama ni mtu anayependa kusoma hisia za watu, ujumbe wao atakuwa ameupata ila wewe kwa bahati mbaya umeshindwa kuelewa uzito wa ujumbe wa wananchi kwa Rais.
Sema roho inauma na hamkutarajia.Upuuzi wa dizaini hii ndip unarudisha maendeleo ya Arusha. Mleta uzi una miaka mingapi??
Ni kweli, kwa sababu you are blind to the wind of change.Arusha tuko tofauti sana tunajiona kama hatuko sehem ya Tanzania.
Huu moto hivi sasa utakuwa ni nchi nzima.Lema na Arusha ni habari ingine.
Kutawala kwa mabavu ni aibu na fedheha.Lema Mwisho 2020 kwa Njia zozote Hilo Jimbo kuna Mtu ameshapewa
Kutawala kwa mabavu ni aibu na fedheha.
Meza Panadol upunguze maumivu.Aijalishi Lema ni Giza la Maendeleo
Hata Jk Mlimtukana sana leo unafiki wenu mnamwita Baba wa Demo
Meza Panadol upunguze maumivu.
Eti upinzani unakufa!!
Ndio mkome!
Alisema pia kwa sasa wana upungufu wa watalii wangapi kuanzia 2015?, ameongelea pia kuhusu vibali vya kufanya gemu vitatoka lini?, amesema pia kuhusu kufungwa na kuuzwa kwa hoteli za kitalii na hii ni Tz kwa upana wake?Ulimsikia mwenyekiti wa chama cha wamiliki wa makampuni ya tours arusha alichosema?? Kwamba kwa sasa arusha ni mahali palipotulia hata wao hawawapitishi wageni njia za porini kwa kuhofia maandamano ambayo yalichangia kuharibu biashara ya utalii arusha.
Always nothing better for us.no matter what we want to taste the changesNi kweli, kwa sababu you are blind to the wind of change.
Kwani nyinyi genge la Lumumba mna chembechembe zo zote za uelewa wa mambo ya kufikirisha?Bila ushahidi ni kazi bure, ingawa mi mwenyewe niliskia shangwe kuuubwa likipigwa kwa ajili yake!