Kungu Kayuki
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 351
- 203
TANZANIA UFALME ULIONDOLEWA NA NYERERE WALA HAKUNA KIONGOZI MALAIKA HAYO NI MANENO YA WANA CHADEMA WIVU TU KAWASHINDA UCHAGUZI WANATAFUTA KILA NJIA ASIONGOZE VIZURI LAKINI KISHAWAJUA .
Wakipinga kwa hoja wanabomoa ukuta wa kiwanda au wanavunja hatimiliki ya viwanda???Viwanda havihitaji siasa za majitaka za upinzani za kupinga kila kitu.
Hivi kumbe Tanzania kuna wafalme
Unakanusha maneno yaliyosemwa na boss wako?? Tena hadharani?? au ulikuwa usingizini wakati anayatamka??TANZANIA UFALME ULIONDOLEWA NA NYERERE WALA HAKUNA KIONGOZI MALAIKA HAYO NI MANENO YA WANA CHADEMA WIVU TU KAWASHINDA UCHAGUZI WANATAFUTA KILA NJIA ASIONGOZE VIZURI LAKINI KISHAWAJUA .
Tatizo la watu kama wewe ni ujinga, hujui Lema kaifanyia nini Arusha?? Basi wewe utakuwa msukuma tu.Hakuna ufalme, tatizo mnafikiri kila kelele ni shangwe za kumshangilia Lema..Badilikeni kuweni na fikira zingine Lema kaifdanyia nn Arusha mpka ashangiliwe zaidi amekuwa mhudhuriaji mzuri wa kesi mahakamani na kulalamika tu. Gambo anapiga kazi sio huyo mfuga rasta wa zamani
Hustahili hata ku-comment jF kwa sababu ume-join juzi, tena umetumwa na lumumba ili muweke pumba zenu hapa jF, nyambafuKuna kitu kikubwa sana ambacho akili iliyoshikiliwa na mange haiwezi kuona. Namna RC Gambo alivyomtambulisha ndicho kilicholeta furaha kubwa pale kuliko MTU aliyetambulishwa. Nani asiyefahamu mvutano uliopo kati ya hawa wawili???!!! Lakini unaposema rafiki yangu inaleta bashasha na hasa zaidi ni kwa maeneo ya tukio lenyewe. Huo ndio ukweli.
Labda yule aliye mtambulisha!!!!Na malkia wa Arusha ni nani?
Hivi kumbe Tanzania kuna wafalme