nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Je yeye hataki 300000, kwa siku?
Angalia usije kutukana wakwe zako!!!Wewe hata uniheshimu au unidharau kutaleta maslahi gani kwangu ama kwa taifa?
Yani mtu akiwa CHADEMA anakuwa na akili kama za bata.
WanaJF,
Mbunge machachari wa Arusha mjini, bwana Godbless Lema, amepatwa na balaa kubwa bungeni baada ya kuthibitika kuwa amekuwa mtoro aliye kithiri.
Mhe Lema ana daiwa kuhudhuria vikao visivyozidi 3 tangu kufunguliwa rasmi shughuli za bunge maalumu la katiba. Jambo ambalo limemuweka kwenye hatari ya kupoteza uhalali wake wa kushiriki kwenye tukio hilo la kihistoria.
Pamoja na kwamba kwa sasa hakuna kamati ya maadili na haki za bunge, katibu wa bunge ameeleza kuwa suala la kuhudhuria bungeni ni jambo mtambuka, hivyo yeyote anaye puuza hilo atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.
Aidha, itakumbukwa kuwa bwana Lema alikuwa amewekeza nguvu zake zote kwenye uchaguzi jimboni Kalenga lakini amepatwa na kichapo cha haja Kalenga na mambo yanazidi kumuendea kombo bungeni.
Bora usinge register as verified member. Unatia aibuDuh,,,,,,,
Chopa 3 kata 3. Bado tupo kalengaNi vyema ukatumia kichwa kufikiri kulko kutumia makario,tumia ushahuri huu kutwa × 3 kwa siku 7 baada ya hapo utaona mabadiriko makubwa.
Atakuwa hospitalini amelazwa;
ni baada ya kujikuta kuwa si lolote wa chochote kuleeee.
Tumwombee apone tu ili aende chalinze.
WEWE MBURULA HUMUWEZI MTUKUFU LEMA
Nimekuwa nikiwasiliana na makamanda wa CDM walioko Chalinze na wamekuwa wakilalamika juu ya uchaguzi na kampeni kuwa ngumu kisa hawana chopa. Hivyo wanaomba Lema awapelekee chopa Chalinze.
WanaJF,
Mbunge machachari wa Arusha mjini, bwana Godbless Lema, amepatwa na balaa kubwa bungeni baada ya kuthibitika kuwa amekuwa mtoro aliye kithiri.
Mhe Lema ana daiwa kuhudhuria vikao visivyozidi 3 tangu kufunguliwa rasmi shughuli za bunge maalumu la katiba. Jambo ambalo limemuweka kwenye hatari ya kupoteza uhalali wake wa kushiriki kwenye tukio hilo la kihistoria.
Pamoja na kwamba kwa sasa hakuna kamati ya maadili na haki za bunge, katibu wa bunge ameeleza kuwa suala la kuhudhuria bungeni ni jambo mtambuka, hivyo yeyote anaye puuza hilo atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.
Aidha, itakumbukwa kuwa bwana Lema alikuwa amewekeza nguvu zake zote kwenye uchaguzi jimboni Kalenga lakini amepatwa na kichapo cha haja Kalenga na mambo yanazidi kumuendea kombo bungeni.
Kweli kushabikia chadema lazima uwe msukule na akili za Kobe, Tangu lini Mtukufu akawa:-
1. Shoga
2. Mwizi wa Magari
3. Master key partner.
4. Mvuta bangi.
5. Mtoa Matusi ma dharau
6. Mbaguzi wa wengine ie. Alichomfanyia Zitto.
Hiyo pepo ambayo Lema ni Mtukufu itakuwa Tengeru, sio ile iliyoandikwa kwenye vitabu vitakatifu.
HAMY-D mboina umetoa sababu kuwa hakuwepo kwa kuwa alikuwa katika kampeni kule Kalenga? Hilo sio balaa!Fungua uzi mkuu na ujadili hayo unayo yataka. Kwani nani amekuzuia?
Fungua uzi mkuu na ujadili hayo unayo yataka. Kwani nani amekuzuia?
Ukikaa ukijisikia basi Lemaaaaaaaaa...
Mnakela sana, tujadili juu ya utanzania wetu kwanza na katiba sio watu