Lema amekuwa mtamu kuliko Lisu - Bungeni Live

mrelbattawy

JF-Expert Member
Mar 25, 2013
564
112
Amechana vibbaya sana., mawaziri 5 kwenye List amewataja mara 100 zaidi ili kuwajibika, nchi haina usalama wa taifa.,
 
MIZIGO ipo maji ya shingo! walizoea sana kuvunja sheria na kufanya wanalotaka.big up sana mh. Lissu na mh. Lema
 
Lema kweli ni mtamu ndo maana washikaji walimpiga Kabang na wanasema ni mtamu kweli..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Una laana ya wazazi kawatake radhi vinginevyo soon utachizika.
 
Back
Top Bottom