Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Sasa Kama Jambazi NYie na CCM yenu mmeamua nn,au ndo mnamuenzi Pinda kwa Kulia lia tu, Ooo Lema Jambazi oooh Lema Jambazi,kawashika Pabaya kweli,Kawashika Masaburi yenu,hamna hali Kwishneyyyyy....Naishi Arusha.
Kila mwana Arusha anajua kuwa Lema ni Jambazi!
Hivi wewe Flora siyo ndugu yake Papaa Msoffe yule tapeli la nguvu la dsm?