Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema kuongea na wananchi kupitia mkutano wa hadhara

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA ambaye pia Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Jonathan Lema baada ya kutikisa Arusha siku ya Ijumaa kwa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara wa kuongea na wananchi wake baada ya kutoka mahabusu. Leo siku ya Jumapili ataongea wananchi kupitia Mkutano wa hadhara utaofanyika katika Viwanja vya Tindigani Kimandolu.
tmp_15242-FB_IMG_1489298853087-538854233.jpg

=========================U
Nilipata tatizo kidogo Mkutano wa Mbunge wa Arusha Godless Jonathan Lema upo live kupitia page ya Facebook Chadema Kanda ya Kaskazini
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Jonathan Lema ameshangaa sana viongozi wa dini kukaa kimya kushindwa kukemea uvunjaji wa katiba unaoendelea.
Viongozi dini mnawambudu Mungu gani mpaka mnavyogopa Magufuli? Lema
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amewatupia lawama viongozi wa dini kwa kuwa waoga hata pale wanapoona katiba na sheria za nchi zinakanyagwa wazi wazi.ameenda mbali na kusema kama viongozi hao hawatabadilika na kuendelea kuwa waoga na wanafiki atafungua kanisa lake na kuliita Godbless Jonathan Lema .Amesisitiza haiwezekani viongozi wa dini wanahubiri mbinguni kuna barabara ya dhahabu lakini wao wanakuwa waoga kwenda kuipita barabara hiyo.Asema viogozi wa dini wamekuwa waoga na uoga ni dhambi mbaya zaidi.
tmp_14678-FB_IMG_1489333651643-249424308.jpg
tmp_14678-FB_IMG_1489333646372-1602779206.jpg
 
Badala ya wanaArusha kwenda kufanya kazi kwa bidii waache kuililia serikali na kujikomboa na balaa hizi wao wanaenda kumsikiliza mtu mwenye stori za waarifu kutoka maabusu....anataka kulibomoa taifa?
 
Badala ya wanaArusha kwenda kufanya kazi kwa bidii waache kuililia serikali na kujikomboa na balaa hizi wao wanaenda kumsikiliza mtu mwenye stori za waarifu kutoka maabusu....anataka kulibomoa taifa?
Hv ujinga mtaacha lini?
 
Nilipata tatizo kidogo Mkutano wa Mbunge wa Arusha Godless Jonathan Lema upo live kupitia page ya Facebook Chadema Kanda ya Kaskazini
 
Kazi ya kufanya usafi ni kazi ya Meya mimi siwezi kushika koleo nipige picha nimeweke facebook siwezi kufanya huo upuuzi Godbless Jonathan Lema.
 
Badala ya wanaArusha kwenda kufanya kazi kwa bidii waache kuililia serikali na kujikomboa na balaa hizi wao wanaenda kumsikiliza mtu mwenye stori za waarifu kutoka maabusu....anataka kulibomoa taifa?
Kwa hyo ulitakaaje tuache tufanye yetu
 
Leo nimeota Raisi Magufuli atakaa madarakani miaka 20 Jamhuri mtaenda kufuta kesi? Lema
 
Badala ya wanaArusha kwenda kufanya kazi kwa bidii waache kuililia serikali na kujikomboa na balaa hizi wao wanaenda kumsikiliza mtu mwenye stori za waarifu kutoka maabusu....anataka kulibomoa taifa?
Kuna siku walikuja kwako kuomba unga wa ugali? Hongeni Toyo wao wanamchagua Lema. Habari zimfikie mkuu na monaban
 
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amewatupia lawama viongozi wa dini kwa kuwa waoga hata pale wanapoona katiba na sheria za nchi zinakanyagwa wazi wazi.ameenda mbali na kusema kama viongozi hao hawatabadilika na kuendelea kuwa waoga na wanafiki atafungua kanisa lake na kuliita Godbless Jonathan Lema .Amesisitiza haiwezekani viongozi wa dini wanahubiri mbiguni kuna barabara ya dhahabu lakini wao wanakuwa waoga kwenda kuipita barabara hiyo.Asemema viogozi wa dini wamekuwa waoga na uoga ni dhambi mbaya zaidi.
 
Badala ya wanaArusha kwenda kufanya kazi kwa bidii waache kuililia serikali na kujikomboa na balaa hizi wao wanaenda kumsikiliza mtu mwenye stori za waarifu kutoka maabusu....anataka kulibomoa taifa?
Karibu mbauda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom