Lema afunua siri za muafaka wa madiwani Arusha

Lema ni Jambazi jamani haya maneno yangu! Mtakuja kuyakubali muda si mrefu! nawashangaa watu Arusha wanakuwa mateka wa mwizi wa magari lazima muwe na Cognition
<br />
<br />
Bila utafiti huna haki ya kusema kitu, je una uhakika wa unachokisema. Natamani Lema ngekufahamu ili ukadhibitishe unachosema mahakamani.

Wewe endelea kuropoka siku zako zinahesabika. Lema angekuwa Bungeni kama unayoyosema yangekuwa kweli.Chadema noma na mtaumbuka wote na vibaraka wenu.
 
Hivi viongozi wa Chadema Dr Slaa,Zitto,Mbowe,Mnyika....kwanini mnamuacha Lema anafanya mambo ya kijinga jamani? Hii itaki-cost Chama jamani inakuaje Mbunge Mzima anatoa Ushahidi wa CD tena kwenye Public? Huyo Mallah ataishitaki Chadema na kusema hiyo saauti yake imeigizwa na ni kosa kama kufoji saini ya mtu mwingine! Chadema lazima kuwa makini na baadhi ya watu kama Lema tusiruhusu afanye mambo kwa akili yake jamani italeta damage kubwa sana hasa mambo ya kisheria! This is chiddish to Lema angeomba Ushauri kwanza kwa wenzake!

Kinachokusumbua wewe ni ignorance of the law.
 
Hongera viongozi wa CDM kwa kukifikisha chama kwa hali nzuri mpaka,watu wa magamba nyie endeleeni kukanyagana mpaka mtoane macho sisi CDM bado kilomita Chache tuchukue nchi yetu
 
hivi viongozi wa chadema dr slaa,zitto,mbowe,mnyika....kwanini mnamuacha lema anafanya mambo ya kijinga jamani? Hii itaki-cost chama jamani inakuaje mbunge mzima anatoa ushahidi wa cd tena kwenye public? Huyo mallah ataishitaki chadema na kusema hiyo saauti yake imeigizwa na ni kosa kama kufoji saini ya mtu mwingine! Chadema lazima kuwa makini na baadhi ya watu kama lema tusiruhusu afanye mambo kwa akili yake jamani italeta damage kubwa sana hasa mambo ya kisheria! This is chiddish to lema angeomba ushauri kwanza kwa wenzake!
kwa sheria ya wapi hiyo kwa ni sauti ya nani mpaka ashitaki hatutaki wanafiki wametua pabaya sasa wanaona
 
hawa magamba mbona hawana kwa kutokea mwaka huu ? Mtakuja na single nyingi sana lkn kwa kuuzia hizo single !cdm kazeni uzi ccm washalegea hawana jeuri tena,watanzania tumewachoka na wizi wa raslimali za nchi yetu,Hivi Rejao na Rz 1 nyie kwenu si oman nyie?
 
hivi viongozi wa chadema dr slaa,zitto,mbowe,mnyika....kwanini mnamuacha lema anafanya mambo ya kijinga jamani? Hii itaki-cost chama jamani inakuaje mbunge mzima anatoa ushahidi wa cd tena kwenye public? Huyo mallah ataishitaki chadema na kusema hiyo saauti yake imeigizwa na ni kosa kama kufoji saini ya mtu mwingine! Chadema lazima kuwa makini na baadhi ya watu kama lema tusiruhusu afanye mambo kwa akili yake jamani italeta damage kubwa sana hasa mambo ya kisheria! This is chiddish to lema angeomba ushauri kwanza kwa wenzake!
kwa sheria za kichina labda?
 
Hivi viongozi wa Chadema Dr Slaa,Zitto,Mbowe,Mnyika....kwanini mnamuacha Lema anafanya mambo ya kijinga jamani? Hii itaki-cost Chama jamani inakuaje Mbunge Mzima anatoa Ushahidi wa CD tena kwenye Public? Huyo Mallah ataishitaki Chadema na kusema hiyo saauti yake imeigizwa na ni kosa kama kufoji saini ya mtu mwingine! Chadema lazima kuwa makini na baadhi ya watu kama Lema tusiruhusu afanye mambo kwa akili yake jamani italeta damage kubwa sana hasa mambo ya kisheria! This is chiddish to Lema angeomba Ushauri kwanza kwa wenzake!

Mzee kanywe maji upunguze joto la taharuki. Ya Chadema waachie Chadema.
 
Hivi viongozi wa Chadema Dr Slaa,Zitto,Mbowe,Mnyika....kwanini mnamuacha Lema anafanya mambo ya kijinga jamani? Hii itaki-cost Chama jamani inakuaje Mbunge Mzima anatoa Ushahidi wa CD tena kwenye Public? Huyo Mallah ataishitaki Chadema na kusema hiyo saauti yake imeigizwa na ni kosa kama kufoji saini ya mtu mwingine! Chadema lazima kuwa makini na baadhi ya watu kama Lema tusiruhusu afanye mambo kwa akili yake jamani italeta damage kubwa sana hasa mambo ya kisheria! This is chiddish to Lema angeomba Ushauri kwanza kwa wenzake!
<br />
<br />
amka Mkuu, maneno yake yalirekodiwa na aliyempigia, vile vile simu ya Mallah imefungiwa GPS, chombo kinachorekodi sauti.
 
Siku zote mcheza pweke ushinda. Tuone kama mkiingia kwenye spaling mtashinda.

Yetu macho

You dont understand, again. Wachotaka CHADEMA sio kushinda chaguzi for the sake of getting an extra head, bali wanataka kundoa kabisa hii cancer ya 'political prostitution'. Kwa hiyo kushinda hizi nafasi za udiwani is not the primary objective, wanataka watu safi!
 
Hivi viongozi wa Chadema Dr Slaa,Zitto,Mbowe,Mnyika....kwanini mnamuacha Lema anafanya mambo ya kijinga jamani? Hii itaki-cost Chama jamani inakuaje Mbunge Mzima anatoa Ushahidi wa CD tena kwenye Public? Huyo Mallah ataishitaki Chadema na kusema hiyo saauti yake imeigizwa na ni kosa kama kufoji saini ya mtu mwingine! Chadema lazima kuwa makini na baadhi ya watu kama Lema tusiruhusu afanye mambo kwa akili yake jamani italeta damage kubwa sana hasa mambo ya kisheria! This is chiddish to Lema angeomba Ushauri kwanza kwa wenzake!
Mshauri Malah aende mahakamani halafu aombe ushaidi aone moto wake...........

nasikia wabunge wenu wamekatazwa kuomba mwongozo ili wapatiwe ushahidi kwa vile kila wakiomba wanajikuta wanaumbuka.
 
&lt;font size=&quot;4&quot;&gt;&lt;b&gt;lema amegushi vyeti vya elimu itakuwa cd? huyo ni mwongo labda amemtepu mamake!&lt;/b&gt;&lt;/font&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
natamani nikutukane mpumbavu japo nimemaanisha nilichokisema
 
haya sasa na wewe mwenye akili kama Zombe umeshadanganywa na Zombe, kama Lema ni jambazi kwannina wasimkamate na kumfunga baci ni udhaifu wa serikali iliyo madarakani. TAFADHALI USIBINAFSISHE KUFIKIRI
Anafikiri kwa kutumia Masaburi (Makalio) Huyo
 
Back
Top Bottom