Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Wana JF, Mkutano wa leo wa chadema ulifanyika katika uwanja wa Tindigani kata ya Kimandolu ambapo ndipo anapotoka Naibu Meya Estomih Mallah aliyefukuzwa chamani.
Katika mkutano huo, Mbunge wa Arusha mh. Lema aliweka CD iliyomrekodi Mallah akizungumza na mtu anayefanya kazi ofisi ya mwanasheria kwa njia ya simu, akitaka kumpa mwanasheria kitu kidogo, ampe mkuu wa polisi Arusha ili azuie mkutano wowote wa chadema usifanyike arusha, wala viongozi wa chadema hususan Lema asiruhusiwe kuongea na waandishi wa habari.
Kesho tutawekewa CD inayomhusisha Mallah na rushwa kuhusu muafaka wa kichina. Chadema ni noma
Katika mkutano huo, Mbunge wa Arusha mh. Lema aliweka CD iliyomrekodi Mallah akizungumza na mtu anayefanya kazi ofisi ya mwanasheria kwa njia ya simu, akitaka kumpa mwanasheria kitu kidogo, ampe mkuu wa polisi Arusha ili azuie mkutano wowote wa chadema usifanyike arusha, wala viongozi wa chadema hususan Lema asiruhusiwe kuongea na waandishi wa habari.
Kesho tutawekewa CD inayomhusisha Mallah na rushwa kuhusu muafaka wa kichina. Chadema ni noma