Lema aache kumtishia amani DPP

Lema aache kumtishia amani DPP

Lema hamtishi DPP, Lema anamwabia DPP atende haki kwa mujibu wa sheria. DPP hana uwezo kisheria kumuhukumu mtu, mahakama ndo inatoa hukumu kwa mkosaji. Kupeleka mashataka mahakamani hakumpi DPP mamlaka ya kuwahukumu watu, wala hicho cheo sio rungu la kuwakomoa watu. Unaandaa mashtaka na kumfikisha mtuhumiwa mahakamani mtu anasota ndani miaka mitatu kwa madai kwamba upelelezi hajakamilika. Baadaye unataka mtuhumiwa aje aombe msamaha wakati ktk miaka mitatu umeshindwa kupata ushahidi wa unachomtuhumu, huo sio utawala wa kisheria.
 
Umu ulipo itoa mada hii si Mahal sahihi japo umeandika vizuri na nakupa big point Ila umu Kuna watu wapo kuakikisha huwasem vibaya VIONGOZI wao Wala kuwapinga ndio Mana ni Bora waongee pumba kuliko hata Kama ni ukwel kisa tu na wao wanamgao kwenye ruzuku wa chama ambao ni Bora wasijenge ofis wanenepeshe tu matumbo Yao wanasubir mpaka wakipewa nchi ndio waanze kukijenga chama Chao

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hizo ofisi za CCM zilijengwa na CCM au Serikali?yaani vijani wa Lumumba majinga yote.
 
Siasa anazofanya Lema, Mbunge wa Arusha kwa hakika ni za kijambazi. Katika clip ya video aliyorekodi punde utaona si anamtishia amani DPP tu bali viongozi wote wa awamu ya tano.

Wenye ufahamu wanajua aina ya uongozi wa nchi wanayopigania CHADEMA ni ile ya mwenye nacho anaongezewa na asiyenacho anazidi kuwa maskini. Tafsiri halisi ya demokrasia wanayopigania ni pale kuna ulaghai wa uhuru huku wenyenacho wananunua haki na kuuziwa haki kutokana na mfumo wa rushwa na ubinafsi kutawala.

Huko nyuma wahujumu uchumi na fisadi kumekuwa na kesi tu. Kila mwananchi anajua hujuma na ufisadi lakini hakuna anayekamatwa na akikamatwa anashinda kesi hafungwi maana haki inauzwa na wanasheria na wenye nacho wananunua haki.

Ndio maana baada ya tumbuatumbua ya majipu ya kifisadi fisadi wamejaa gerezani. Ni kweli kama anavyodai lema washutumiwa wa ufisadi na ndugu na marafiki zao wana hasira na kisasi. Ila si kama anavyotumaini Lema eti 'regime' hii itapita fisadi watarudi ulingoni na kulipa kisasi.

Kina Lema wajue Watanzania walifunzwa na Baba wa Taifa kudai haki na kupinga unyonyaji ndio maana Mwalimu Nyerere akaita chama alichokiongoza mwenyewe Chama cha Mapinduzi. CCM sio chama cha kiliberali kama CHADEMA kwa sababu kinapigania demokrasia na kupinga unyonyaji wa tabaka moja kulinyonya tabaka lingine.

Ningemshauri Lema atafakari badala ya kuwatisha watendaji na viongozi wa awamu ya tano kupitia kitisho kwa DPP. Ajue hakuna kurudi nyuma, mapinduzi ya uchumi Tanzania yataenda kwa kasi na kumfadisha kila raia.
Ni DPP nayemtisha Lema, na sio Lema anayemtisha DPP. DPP anatumika vibaya na watawala.kwa mdano Utakumbuka maandamano yaliowafunga Mbowe na wenzake alikuwepo Waitara lakini DPP hakumuunganisha Waitara kwenye kesi hiyo kwa sababu yupo CCM???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hekima na busara DPP hatakiwi kuongea mambo yale mbele ya Press. Mambo yake yanatakiwa yaende kimya kimya.

KWA SHERIA DPP, kama mwendesha mashtaka wa serikali/umma hatakiwi kuongelea masuala ya kesi zinazohusiana na ofisi yake hadharani. Hatakiwi kabisa kutoa kauli za kisiasa. Anatakiwa kuwa impartial. Yeye anaishia kuwa mtu wa facts na hoja tu kuthibitisha jinai na jukwaa lake ni mahakamani pekee. Alichofanya majuzi si sahihi kabisa na ni “unprecedented” period. Ni aibu.
 
Kwaio na wewe ukichukua nch utafanya Kama CCM Sasa kwa nn tukupe nch ilihal wote hamna utofaut huon unaropoka tu Kama Sera zenu zinafanana why nyie mpewe wakati hata nyie mnasubir mpewe nch mkajijenge pumbafu nyie umeshindwa kukwepa mtego
Kwani hizo ofisi za CCM zilijengwa na CCM au Serikali?yaani vijani wa Lumumba majinga yote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...Lema yupo sahihi,sikuwahi kumuona DPP akitoka hadharani
Kila kitu siku hizi wanaweka hadharani lakini siyo na yale ya madini au pangaboi, ukishangaa ya dipipii kutoka hadharani utaona ya mtumishi kuulizwa mshahara wake hadharani na ukatajwa. Tembea kifua mbele ,,,,,,hahaahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa anazofanya Lema, Mbunge wa Arusha kwa hakika ni za kijambazi. Katika clip ya video aliyorekodi punde utaona si anamtishia amani DPP tu bali viongozi wote wa awamu ya tano.

Wenye ufahamu wanajua aina ya uongozi wa nchi wanayopigania CHADEMA ni ile ya mwenye nacho anaongezewa na asiyenacho anazidi kuwa maskini. Tafsiri halisi ya demokrasia wanayopigania ni pale kuna ulaghai wa uhuru huku wenyenacho wananunua haki na kuuziwa haki kutokana na mfumo wa rushwa na ubinafsi kutawala.

Huko nyuma wahujumu uchumi na fisadi kumekuwa na kesi tu. Kila mwananchi anajua hujuma na ufisadi lakini hakuna anayekamatwa na akikamatwa anashinda kesi hafungwi maana haki inauzwa na wanasheria na wenye nacho wananunua haki.

Ndio maana baada ya tumbuatumbua ya majipu ya kifisadi fisadi wamejaa gerezani. Ni kweli kama anavyodai lema washutumiwa wa ufisadi na ndugu na marafiki zao wana hasira na kisasi. Ila si kama anavyotumaini Lema eti 'regime' hii itapita fisadi watarudi ulingoni na kulipa kisasi.

Kina Lema wajue Watanzania walifunzwa na Baba wa Taifa kudai haki na kupinga unyonyaji ndio maana Mwalimu Nyerere akaita chama alichokiongoza mwenyewe Chama cha Mapinduzi. CCM sio chama cha kiliberali kama CHADEMA kwa sababu kinapigania demokrasia na kupinga unyonyaji wa tabaka moja kulinyonya tabaka lingine.

Ningemshauri Lema atafakari badala ya kuwatisha watendaji na viongozi wa awamu ya tano kupitia kitisho kwa DPP. Ajue hakuna kurudi nyuma, mapinduzi ya uchumi Tanzania yataenda kwa kasi na kumfadisha kila raia.
We nae kiazi
 
Siasa anazofanya Lema, Mbunge wa Arusha kwa hakika ni za kijambazi. Katika clip ya video aliyorekodi punde utaona si anamtishia amani DPP tu bali viongozi wote wa awamu ya tano.

Wenye ufahamu wanajua aina ya uongozi wa nchi wanayopigania CHADEMA ni ile ya mwenye nacho anaongezewa na asiyenacho anazidi kuwa maskini. Tafsiri halisi ya demokrasia wanayopigania ni pale kuna ulaghai wa uhuru huku wenyenacho wananunua haki na kuuziwa haki kutokana na mfumo wa rushwa na ubinafsi kutawala.

Huko nyuma wahujumu uchumi na fisadi kumekuwa na kesi tu. Kila mwananchi anajua hujuma na ufisadi lakini hakuna anayekamatwa na akikamatwa anashinda kesi hafungwi maana haki inauzwa na wanasheria na wenye nacho wananunua haki.

Ndio maana baada ya tumbuatumbua ya majipu ya kifisadi fisadi wamejaa gerezani. Ni kweli kama anavyodai lema washutumiwa wa ufisadi na ndugu na marafiki zao wana hasira na kisasi. Ila si kama anavyotumaini Lema eti 'regime' hii itapita fisadi watarudi ulingoni na kulipa kisasi.

Kina Lema wajue Watanzania walifunzwa na Baba wa Taifa kudai haki na kupinga unyonyaji ndio maana Mwalimu Nyerere akaita chama alichokiongoza mwenyewe Chama cha Mapinduzi. CCM sio chama cha kiliberali kama CHADEMA kwa sababu kinapigania demokrasia na kupinga unyonyaji wa tabaka moja kulinyonya tabaka lingine.

Ningemshauri Lema atafakari badala ya kuwatisha watendaji na viongozi wa awamu ya tano kupitia kitisho kwa DPP. Ajue hakuna kurudi nyuma, mapinduzi ya uchumi Tanzania yataenda kwa kasi na kumfadisha kila raia.


MKuu kwani mpaka sasa ile mahakama ya mafisadi inakesi ngapi?
 
Siasa anazofanya Lema, Mbunge wa Arusha kwa hakika ni za kijambazi. Katika clip ya video aliyorekodi punde utaona si anamtishia amani DPP tu bali viongozi wote wa awamu ya tano.

Wenye ufahamu wanajua aina ya uongozi wa nchi wanayopigania CHADEMA ni ile ya mwenye nacho anaongezewa na asiyenacho anazidi kuwa maskini. Tafsiri halisi ya demokrasia wanayopigania ni pale kuna ulaghai wa uhuru huku wenyenacho wananunua haki na kuuziwa haki kutokana na mfumo wa rushwa na ubinafsi kutawala.

Huko nyuma wahujumu uchumi na fisadi kumekuwa na kesi tu. Kila mwananchi anajua hujuma na ufisadi lakini hakuna anayekamatwa na akikamatwa anashinda kesi hafungwi maana haki inauzwa na wanasheria na wenye nacho wananunua haki.

Ndio maana baada ya tumbuatumbua ya majipu ya kifisadi fisadi wamejaa gerezani. Ni kweli kama anavyodai lema washutumiwa wa ufisadi na ndugu na marafiki zao wana hasira na kisasi. Ila si kama anavyotumaini Lema eti 'regime' hii itapita fisadi watarudi ulingoni na kulipa kisasi.

Kina Lema wajue Watanzania walifunzwa na Baba wa Taifa kudai haki na kupinga unyonyaji ndio maana Mwalimu Nyerere akaita chama alichokiongoza mwenyewe Chama cha Mapinduzi. CCM sio chama cha kiliberali kama CHADEMA kwa sababu kinapigania demokrasia na kupinga unyonyaji wa tabaka moja kulinyonya tabaka lingine.

Ningemshauri Lema atafakari badala ya kuwatisha watendaji na viongozi wa awamu ya tano kupitia kitisho kwa DPP. Ajue hakuna kurudi nyuma, mapinduzi ya uchumi Tanzania yataenda kwa kasi na kumfadisha kila raia.
Kwa hiyo DPP ndio ruhusa kutisha watu,? Afanye kazi kwa Mujibu wa Katiba ya Nchi hakuna atakaye mdharau hizi kazi ni za Muda kuna maisha baada ya Utumishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa anazofanya Lema, Mbunge wa Arusha kwa hakika ni za kijambazi. Katika clip ya video aliyorekodi punde utaona si anamtishia amani DPP tu bali viongozi wote wa awamu ya tano.

Wenye ufahamu wanajua aina ya uongozi wa nchi wanayopigania CHADEMA ni ile ya mwenye nacho anaongezewa na asiyenacho anazidi kuwa maskini. Tafsiri halisi ya demokrasia wanayopigania ni pale kuna ulaghai wa uhuru huku wenyenacho wananunua haki na kuuziwa haki kutokana na mfumo wa rushwa na ubinafsi kutawala.

Huko nyuma wahujumu uchumi na fisadi kumekuwa na kesi tu. Kila mwananchi anajua hujuma na ufisadi lakini hakuna anayekamatwa na akikamatwa anashinda kesi hafungwi maana haki inauzwa na wanasheria na wenye nacho wananunua haki.

Ndio maana baada ya tumbuatumbua ya majipu ya kifisadi fisadi wamejaa gerezani. Ni kweli kama anavyodai lema washutumiwa wa ufisadi na ndugu na marafiki zao wana hasira na kisasi. Ila si kama anavyotumaini Lema eti 'regime' hii itapita fisadi watarudi ulingoni na kulipa kisasi.

Kina Lema wajue Watanzania walifunzwa na Baba wa Taifa kudai haki na kupinga unyonyaji ndio maana Mwalimu Nyerere akaita chama alichokiongoza mwenyewe Chama cha Mapinduzi. CCM sio chama cha kiliberali kama CHADEMA kwa sababu kinapigania demokrasia na kupinga unyonyaji wa tabaka moja kulinyonya tabaka lingine.

Ningemshauri Lema atafakari badala ya kuwatisha watendaji na viongozi wa awamu ya tano kupitia kitisho kwa DPP. Ajue hakuna kurudi nyuma, mapinduzi ya uchumi Tanzania yataenda kwa kasi na kumfadisha kila raia.

Mh. Lema anayo nafasi finyu sana kuwatisha watu wa Mkoa wa Mara, Jando la wima.
 
Sasa Lema na Huyo DPP nani aliyemtishia mwenzake? Lema hajamtisha kamwambia ukweli kwamba hamuogopi na akitaka ampe hukumu hata ya kumyonga na pia amemsisitiza kwamba awamu hii haingozwi na Mungu wala yesu hivyo itapita tu kama nyingine.
Savimbi Jr, hivi Mungu na Yesu nani mkubwa?
 
He! Lumumba sasa'ivi mmebadilisha kauli mbiu kumbe ... !!!

Kutoka UCHOCHEZI na kuwa UCHONGANISHI ... !!!

Ha ha ha haaa ama hakika nyakati za mwisho wa shetani tutashuhudia dhambi nyingi zikibadilishwa majina ila ukweli utabaki palepale kuwa dhambi ni dhambi hata uibadilishe rangi

Kwa herufi kubwa na kwa sauti ya juu ni kwamba:-

"DPP ACHA KUONEA WATU KUNA MUNGU NA KUNA MAISHA BAADA YA SIASA ... UYAFANYAYO NI DHAMBI KWA NAFASI ULIYONAYO ..."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom