900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 9,423
- 11,439
DPP anakifokifoki c mwanachama wa ccmKwa hekima na busara DPP hatakiwi kuongea mambo yale mbele ya Press. Mambo yake yanatakiwa yaende kimya kimya.
DPP anakifokifoki c mwanachama wa ccmKwa hekima na busara DPP hatakiwi kuongea mambo yale mbele ya Press. Mambo yake yanatakiwa yaende kimya kimya.
Dpp Ni mtu mkubwa Sana,Ni suala la kutoa tu maagizo na ikatekelezwa.Hivi kumbe anaetoa Hukumu ni DPP!??
Typed Using KIDOLE
Mkuu DPP ndiye anayefunga watu? Unajua kazi ya DPP wew? Au hujui hata unaongelea nini kama mleta mada.Nanshauri DPP amfunge Lema miaka 25 ili akome,,,
Au ampige faini ya bilioni 1 tuone Kama wananchi wataweza kumchangia
Wewe ndo unajitoa ufahamu,Dpp anaweza kukufungaMkuu DPP ndiye anayefunga watu? Unajua kazi ya DPP wew? Au hujui hata unaongelea nini kama mleta mada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hizo ofisi za CCM zilijengwa na CCM au Serikali?yaani vijani wa Lumumba majinga yote.Umu ulipo itoa mada hii si Mahal sahihi japo umeandika vizuri na nakupa big point Ila umu Kuna watu wapo kuakikisha huwasem vibaya VIONGOZI wao Wala kuwapinga ndio Mana ni Bora waongee pumba kuliko hata Kama ni ukwel kisa tu na wao wanamgao kwenye ruzuku wa chama ambao ni Bora wasijenge ofis wanenepeshe tu matumbo Yao wanasubir mpaka wakipewa nchi ndio waanze kukijenga chama Chao
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu nitag broNitajie fisad ambae amefungwa jela na amefungwa miaka mingapi
Ni DPP nayemtisha Lema, na sio Lema anayemtisha DPP. DPP anatumika vibaya na watawala.kwa mdano Utakumbuka maandamano yaliowafunga Mbowe na wenzake alikuwepo Waitara lakini DPP hakumuunganisha Waitara kwenye kesi hiyo kwa sababu yupo CCM???Siasa anazofanya Lema, Mbunge wa Arusha kwa hakika ni za kijambazi. Katika clip ya video aliyorekodi punde utaona si anamtishia amani DPP tu bali viongozi wote wa awamu ya tano.
Wenye ufahamu wanajua aina ya uongozi wa nchi wanayopigania CHADEMA ni ile ya mwenye nacho anaongezewa na asiyenacho anazidi kuwa maskini. Tafsiri halisi ya demokrasia wanayopigania ni pale kuna ulaghai wa uhuru huku wenyenacho wananunua haki na kuuziwa haki kutokana na mfumo wa rushwa na ubinafsi kutawala.
Huko nyuma wahujumu uchumi na fisadi kumekuwa na kesi tu. Kila mwananchi anajua hujuma na ufisadi lakini hakuna anayekamatwa na akikamatwa anashinda kesi hafungwi maana haki inauzwa na wanasheria na wenye nacho wananunua haki.
Ndio maana baada ya tumbuatumbua ya majipu ya kifisadi fisadi wamejaa gerezani. Ni kweli kama anavyodai lema washutumiwa wa ufisadi na ndugu na marafiki zao wana hasira na kisasi. Ila si kama anavyotumaini Lema eti 'regime' hii itapita fisadi watarudi ulingoni na kulipa kisasi.
Kina Lema wajue Watanzania walifunzwa na Baba wa Taifa kudai haki na kupinga unyonyaji ndio maana Mwalimu Nyerere akaita chama alichokiongoza mwenyewe Chama cha Mapinduzi. CCM sio chama cha kiliberali kama CHADEMA kwa sababu kinapigania demokrasia na kupinga unyonyaji wa tabaka moja kulinyonya tabaka lingine.
Ningemshauri Lema atafakari badala ya kuwatisha watendaji na viongozi wa awamu ya tano kupitia kitisho kwa DPP. Ajue hakuna kurudi nyuma, mapinduzi ya uchumi Tanzania yataenda kwa kasi na kumfadisha kila raia.



Kwa hekima na busara DPP hatakiwi kuongea mambo yale mbele ya Press. Mambo yake yanatakiwa yaende kimya kimya.
Kwani hizo ofisi za CCM zilijengwa na CCM au Serikali?yaani vijani wa Lumumba majinga yote.
Kila kitu siku hizi wanaweka hadharani lakini siyo na yale ya madini au pangaboi, ukishangaa ya dipipii kutoka hadharani utaona ya mtumishi kuulizwa mshahara wake hadharani na ukatajwa. Tembea kifua mbele ,,,,,,hahaahahahahWrite your reply...Lema yupo sahihi,sikuwahi kumuona DPP akitoka hadharani
We nae kiaziSiasa anazofanya Lema, Mbunge wa Arusha kwa hakika ni za kijambazi. Katika clip ya video aliyorekodi punde utaona si anamtishia amani DPP tu bali viongozi wote wa awamu ya tano.
Wenye ufahamu wanajua aina ya uongozi wa nchi wanayopigania CHADEMA ni ile ya mwenye nacho anaongezewa na asiyenacho anazidi kuwa maskini. Tafsiri halisi ya demokrasia wanayopigania ni pale kuna ulaghai wa uhuru huku wenyenacho wananunua haki na kuuziwa haki kutokana na mfumo wa rushwa na ubinafsi kutawala.
Huko nyuma wahujumu uchumi na fisadi kumekuwa na kesi tu. Kila mwananchi anajua hujuma na ufisadi lakini hakuna anayekamatwa na akikamatwa anashinda kesi hafungwi maana haki inauzwa na wanasheria na wenye nacho wananunua haki.
Ndio maana baada ya tumbuatumbua ya majipu ya kifisadi fisadi wamejaa gerezani. Ni kweli kama anavyodai lema washutumiwa wa ufisadi na ndugu na marafiki zao wana hasira na kisasi. Ila si kama anavyotumaini Lema eti 'regime' hii itapita fisadi watarudi ulingoni na kulipa kisasi.
Kina Lema wajue Watanzania walifunzwa na Baba wa Taifa kudai haki na kupinga unyonyaji ndio maana Mwalimu Nyerere akaita chama alichokiongoza mwenyewe Chama cha Mapinduzi. CCM sio chama cha kiliberali kama CHADEMA kwa sababu kinapigania demokrasia na kupinga unyonyaji wa tabaka moja kulinyonya tabaka lingine.
Ningemshauri Lema atafakari badala ya kuwatisha watendaji na viongozi wa awamu ya tano kupitia kitisho kwa DPP. Ajue hakuna kurudi nyuma, mapinduzi ya uchumi Tanzania yataenda kwa kasi na kumfadisha kila raia.
Kama DPP ndiye anayeweza kukufunga mahakama kazi yake nini? Kazi ya DPP unaijua wewe?Wewe ndo unajitoa ufahamu,Dpp anaweza kukufunga
Siasa anazofanya Lema, Mbunge wa Arusha kwa hakika ni za kijambazi. Katika clip ya video aliyorekodi punde utaona si anamtishia amani DPP tu bali viongozi wote wa awamu ya tano.
Wenye ufahamu wanajua aina ya uongozi wa nchi wanayopigania CHADEMA ni ile ya mwenye nacho anaongezewa na asiyenacho anazidi kuwa maskini. Tafsiri halisi ya demokrasia wanayopigania ni pale kuna ulaghai wa uhuru huku wenyenacho wananunua haki na kuuziwa haki kutokana na mfumo wa rushwa na ubinafsi kutawala.
Huko nyuma wahujumu uchumi na fisadi kumekuwa na kesi tu. Kila mwananchi anajua hujuma na ufisadi lakini hakuna anayekamatwa na akikamatwa anashinda kesi hafungwi maana haki inauzwa na wanasheria na wenye nacho wananunua haki.
Ndio maana baada ya tumbuatumbua ya majipu ya kifisadi fisadi wamejaa gerezani. Ni kweli kama anavyodai lema washutumiwa wa ufisadi na ndugu na marafiki zao wana hasira na kisasi. Ila si kama anavyotumaini Lema eti 'regime' hii itapita fisadi watarudi ulingoni na kulipa kisasi.
Kina Lema wajue Watanzania walifunzwa na Baba wa Taifa kudai haki na kupinga unyonyaji ndio maana Mwalimu Nyerere akaita chama alichokiongoza mwenyewe Chama cha Mapinduzi. CCM sio chama cha kiliberali kama CHADEMA kwa sababu kinapigania demokrasia na kupinga unyonyaji wa tabaka moja kulinyonya tabaka lingine.
Ningemshauri Lema atafakari badala ya kuwatisha watendaji na viongozi wa awamu ya tano kupitia kitisho kwa DPP. Ajue hakuna kurudi nyuma, mapinduzi ya uchumi Tanzania yataenda kwa kasi na kumfadisha kila raia.
Naona hujanisoma katikati ya mstari,ujue tu dpp mtu mkubwa Sana,people's ain't playing by the book no moreKama DPP ndiye anayeweza kukufunga mahakama kazi yake nini? Kazi ya DPP unaijua wewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo DPP ndio ruhusa kutisha watu,? Afanye kazi kwa Mujibu wa Katiba ya Nchi hakuna atakaye mdharau hizi kazi ni za Muda kuna maisha baada ya Utumishi.Siasa anazofanya Lema, Mbunge wa Arusha kwa hakika ni za kijambazi. Katika clip ya video aliyorekodi punde utaona si anamtishia amani DPP tu bali viongozi wote wa awamu ya tano.
Wenye ufahamu wanajua aina ya uongozi wa nchi wanayopigania CHADEMA ni ile ya mwenye nacho anaongezewa na asiyenacho anazidi kuwa maskini. Tafsiri halisi ya demokrasia wanayopigania ni pale kuna ulaghai wa uhuru huku wenyenacho wananunua haki na kuuziwa haki kutokana na mfumo wa rushwa na ubinafsi kutawala.
Huko nyuma wahujumu uchumi na fisadi kumekuwa na kesi tu. Kila mwananchi anajua hujuma na ufisadi lakini hakuna anayekamatwa na akikamatwa anashinda kesi hafungwi maana haki inauzwa na wanasheria na wenye nacho wananunua haki.
Ndio maana baada ya tumbuatumbua ya majipu ya kifisadi fisadi wamejaa gerezani. Ni kweli kama anavyodai lema washutumiwa wa ufisadi na ndugu na marafiki zao wana hasira na kisasi. Ila si kama anavyotumaini Lema eti 'regime' hii itapita fisadi watarudi ulingoni na kulipa kisasi.
Kina Lema wajue Watanzania walifunzwa na Baba wa Taifa kudai haki na kupinga unyonyaji ndio maana Mwalimu Nyerere akaita chama alichokiongoza mwenyewe Chama cha Mapinduzi. CCM sio chama cha kiliberali kama CHADEMA kwa sababu kinapigania demokrasia na kupinga unyonyaji wa tabaka moja kulinyonya tabaka lingine.
Ningemshauri Lema atafakari badala ya kuwatisha watendaji na viongozi wa awamu ya tano kupitia kitisho kwa DPP. Ajue hakuna kurudi nyuma, mapinduzi ya uchumi Tanzania yataenda kwa kasi na kumfadisha kila raia.
Siasa anazofanya Lema, Mbunge wa Arusha kwa hakika ni za kijambazi. Katika clip ya video aliyorekodi punde utaona si anamtishia amani DPP tu bali viongozi wote wa awamu ya tano.
Wenye ufahamu wanajua aina ya uongozi wa nchi wanayopigania CHADEMA ni ile ya mwenye nacho anaongezewa na asiyenacho anazidi kuwa maskini. Tafsiri halisi ya demokrasia wanayopigania ni pale kuna ulaghai wa uhuru huku wenyenacho wananunua haki na kuuziwa haki kutokana na mfumo wa rushwa na ubinafsi kutawala.
Huko nyuma wahujumu uchumi na fisadi kumekuwa na kesi tu. Kila mwananchi anajua hujuma na ufisadi lakini hakuna anayekamatwa na akikamatwa anashinda kesi hafungwi maana haki inauzwa na wanasheria na wenye nacho wananunua haki.
Ndio maana baada ya tumbuatumbua ya majipu ya kifisadi fisadi wamejaa gerezani. Ni kweli kama anavyodai lema washutumiwa wa ufisadi na ndugu na marafiki zao wana hasira na kisasi. Ila si kama anavyotumaini Lema eti 'regime' hii itapita fisadi watarudi ulingoni na kulipa kisasi.
Kina Lema wajue Watanzania walifunzwa na Baba wa Taifa kudai haki na kupinga unyonyaji ndio maana Mwalimu Nyerere akaita chama alichokiongoza mwenyewe Chama cha Mapinduzi. CCM sio chama cha kiliberali kama CHADEMA kwa sababu kinapigania demokrasia na kupinga unyonyaji wa tabaka moja kulinyonya tabaka lingine.
Ningemshauri Lema atafakari badala ya kuwatisha watendaji na viongozi wa awamu ya tano kupitia kitisho kwa DPP. Ajue hakuna kurudi nyuma, mapinduzi ya uchumi Tanzania yataenda kwa kasi na kumfadisha kila raia.
Savimbi Jr, hivi Mungu na Yesu nani mkubwa?Sasa Lema na Huyo DPP nani aliyemtishia mwenzake? Lema hajamtisha kamwambia ukweli kwamba hamuogopi na akitaka ampe hukumu hata ya kumyonga na pia amemsisitiza kwamba awamu hii haingozwi na Mungu wala yesu hivyo itapita tu kama nyingine.