Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,150
- 162,562
Ukiacha Yesu Kristo na wengine wachache ambao Mungu mwenyewe huwatumia,hakuna binadamu aliezaliwa kuwa shujaa bali dunia ndio hutengeneza mashujaa.
Yule atafutwi kibinafsi, na taratibu za kukamata lazima zihusishwe taasisi za serikali, mbona anajificha?kwani DPP alimfuata binafsi au askari wenye silaha acha kujitoa ufahamu
Wacha kujitoa fahamu atafutwi kibinafsi, kwaiyo lazima taasisi uhusika zihusishwe ukihusisha polisi na wengineYeye Lema amemtaja kabisa huyo DPP kwa jina, ilitakiwa huyo DPP aende kumkamata Lema na asitumie mtu. Ila Lema kaweka wazi kuwa utawala huu wa uonevu utapita.
Ila kwa akili yako DPP ana haki ya kumtishia Lema na kulazimisha watu wanunue uhuru wao kwa kesi feki.Siasa anazofanya Lema, Mbunge wa Arusha kwa hakika ni za kijambazi. Katika clip ya video aliyorekodi punde utaona si anamtishia amani DPP tu bali viongozi wote wa awamu ya tano.
Wenye ufahamu wanajua aina ya uongozi wa nchi wanayopigania CHADEMA ni ile ya mwenye nacho anaongezewa na asiyenacho anazidi kuwa maskini. Tafsiri halisi ya demokrasia wanayopigania ni pale kuna ulaghai wa uhuru huku wenyenacho wananunua haki na kuuziwa haki kutokana na mfumo wa rushwa na ubinafsi kutawala.
Huko nyuma wahujumu uchumi na fisadi kumekuwa na kesi tu. Kila mwananchi anajua hujuma na ufisadi lakini hakuna anayekamatwa na akikamatwa anashinda kesi hafungwi maana haki inauzwa na wanasheria na wenye nacho wananunua haki.
Ndio maana baada ya tumbuatumbua ya majipu ya kifisadi fisadi wamejaa gerezani. Ni kweli kama anavyodai lema washutumiwa wa ufisadi na ndugu na marafiki zao wana hasira na kisasi. Ila si kama anavyotumaini Lema eti 'regime' hii itapita fisadi watarudi ulingoni na kulipa kisasi.
Kina Lema wajue Watanzania walifunzwa na Baba wa Taifa kudai haki na kupinga unyonyaji ndio maana Mwalimu Nyerere akaita chama alichokiongoza mwenyewe Chama cha Mapinduzi. CCM sio chama cha kiliberali kama CHADEMA kwa sababu kinapigania demokrasia na kupinga unyonyaji wa tabaka moja kulinyonya tabaka lingine.
Ningemshauri Lema atafakari badala ya kuwatisha watendaji na viongozi wa awamu ya tano kupitia kitisho kwa DPP. Ajue hakuna kurudi nyuma, mapinduzi ya uchumi Tanzania yataenda kwa kasi na kumfadisha kila raia.
..kwaiyo tuseme DPP wenu anayo mamlaka ya kuhukumu kabla kesi haijafika mahakani?Atakuambia yeye ni waziri kivuli wa mambo ya ndani.
Hiyo hukumu ya DPP Ikowapi??..kwaiyo tuseme DPP wenu anayo mamlaka ya kuhukumu kabla kesi haijafika mahakani?
...eti hawa ndio wateule waliochunguzwa mda mrefu mpka mzee baba akalazika kulala juu ya mafaili!!🙄🙄🙄 Najaribu kuwaza sijui ambao walishindwa mchujo walikua na uelewa upiAliyeanza kumtishia mwenzake nani..
Huyu DPP anaeonekana tayari ana hukumu ya Mh, Lema mfukoni mwake.
Ona jinsi alivyotoa povu kuhusu hukumu ya kina Mbowe eti wakate rufaa watakutana Mahakamani, ni kauli za hovyo sana kwa mtumishi wa Umma .
...muombe DPP kama ukumsikia juziHiyo hukumu ya DPP Ikowapi??
...je nikweli watu waliuawa au walisafiri...mahakama itawaomba muwalete kama wapo😜😜😜Hiyo clip.itamtokea puani
Akiambiwa athibitishe madai yake ataweza?
Kuambiwa ukweli ndiyo kumtishwa?
Kama mweli DPP ndiye mahakama, basi atamfunga kadiri anavyotaka, kulingana na chuki yake kwa Lema.Nanshauri DPP amfunge Lema miaka 25 ili akome,,,
Au ampige faini ya bilioni 1 tuone Kama wananchi wataweza kumchangia
mkuu unaishi nchi gani hiyo yenye mapinduzi ya kiuchumi yanayomfaidisha kila mtu?......Siasa anazofanya Lema, Mbunge wa Arusha kwa hakika ni za kijambazi. Katika clip ya video aliyorekodi punde utaona si anamtishia amani DPP tu bali viongozi wote wa awamu ya tano.
Wenye ufahamu wanajua aina ya uongozi wa nchi wanayopigania CHADEMA ni ile ya mwenye nacho anaongezewa na asiyenacho anazidi kuwa maskini. Tafsiri halisi ya demokrasia wanayopigania ni pale kuna ulaghai wa uhuru huku wenyenacho wananunua haki na kuuziwa haki kutokana na mfumo wa rushwa na ubinafsi kutawala.
Huko nyuma wahujumu uchumi na fisadi kumekuwa na kesi tu. Kila mwananchi anajua hujuma na ufisadi lakini hakuna anayekamatwa na akikamatwa anashinda kesi hafungwi maana haki inauzwa na wanasheria na wenye nacho wananunua haki.
Ndio maana baada ya tumbuatumbua ya majipu ya kifisadi fisadi wamejaa gerezani. Ni kweli kama anavyodai lema washutumiwa wa ufisadi na ndugu na marafiki zao wana hasira na kisasi. Ila si kama anavyotumaini Lema eti 'regime' hii itapita fisadi watarudi ulingoni na kulipa kisasi.
Kina Lema wajue Watanzania walifunzwa na Baba wa Taifa kudai haki na kupinga unyonyaji ndio maana Mwalimu Nyerere akaita chama alichokiongoza mwenyewe Chama cha Mapinduzi. CCM sio chama cha kiliberali kama CHADEMA kwa sababu kinapigania demokrasia na kupinga unyonyaji wa tabaka moja kulinyonya tabaka lingine.
Ningemshauri Lema atafakari badala ya kuwatisha watendaji na viongozi wa awamu ya tano kupitia kitisho kwa DPP. Ajue hakuna kurudi nyuma, mapinduzi ya uchumi Tanzania yataenda kwa kasi na kumfadisha kila raia.
Huyu jamaa anadhani jamii forum ni facebook,vijana wa uvccm hekima yao ifikirisha maana mwenye hekima hawezi kuwa na fikra hiiUzuri wa jamii watu wanajua pumba mapema sana
unawaweka watu ndani kisha unawambia walipe pesa huku hakuna hukumu yoyote ndiyo kupambana na ufisadi huko kwa tafsir ya CCMSiasa anazofanya Lema, Mbunge wa Arusha kwa hakika ni za kijambazi. Katika clip ya video aliyorekodi punde utaona si anamtishia amani DPP tu bali viongozi wote wa awamu ya tano.
Wenye ufahamu wanajua aina ya uongozi wa nchi wanayopigania CHADEMA ni ile ya mwenye nacho anaongezewa na asiyenacho anazidi kuwa maskini. Tafsiri halisi ya demokrasia wanayopigania ni pale kuna ulaghai wa uhuru huku wenyenacho wananunua haki na kuuziwa haki kutokana na mfumo wa rushwa na ubinafsi kutawala.
Huko nyuma wahujumu uchumi na fisadi kumekuwa na kesi tu. Kila mwananchi anajua hujuma na ufisadi lakini hakuna anayekamatwa na akikamatwa anashinda kesi hafungwi maana haki inauzwa na wanasheria na wenye nacho wananunua haki.
Ndio maana baada ya tumbuatumbua ya majipu ya kifisadi fisadi wamejaa gerezani. Ni kweli kama anavyodai lema washutumiwa wa ufisadi na ndugu na marafiki zao wana hasira na kisasi. Ila si kama anavyotumaini Lema eti 'regime' hii itapita fisadi watarudi ulingoni na kulipa kisasi.
Kina Lema wajue Watanzania walifunzwa na Baba wa Taifa kudai haki na kupinga unyonyaji ndio maana Mwalimu Nyerere akaita chama alichokiongoza mwenyewe Chama cha Mapinduzi. CCM sio chama cha kiliberali kama CHADEMA kwa sababu kinapigania demokrasia na kupinga unyonyaji wa tabaka moja kulinyonya tabaka lingine.
Ningemshauri Lema atafakari badala ya kuwatisha watendaji na viongozi wa awamu ya tano kupitia kitisho kwa DPP. Ajue hakuna kurudi nyuma, mapinduzi ya uchumi Tanzania yataenda kwa kasi na kumfadisha kila raia.