AVANTES
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 353
- 307
Ni kweeeli kila mtu anamtazamo wake lkn yeye aseme kwa kipindi/ zama za zuchu hakuna wa kumzidi maaana tukisema tumlinganishe na walio pita haiwezekani maana zama zimebadilikaView attachment 2264455
Huu ni mtazamo wa nguli na gwiji wa entertainment industry hapa bongo Salama Jabir.
Na mimi namuunga mkono toka day one uwa nasema hii kitu nikaishia kupewa majina mabaya na wenye wivu, chuki, roho mbaya, husda na nyeg*.
Tukisema waliotangulia hawamfikii Zuchu kwenye idara zote hatumvunjii dada yoyote heshima.