Legend Salama Jabir afunguka, " Hajawai tokea msanii wa kike hodari kumzidi Zuchu kwenye bongofleva"

Wewe unaujua muziki kumzidi Salama?
Roho mbaya chuki na umaskini vinafanya kila anaezungumza ukweli kwa watu unaotamani waanguke kuwaona machawa.
Salama huyu huyu aliyemwambiya konde boy hajuwi mziki?
Na kum disqualify kwenye bongo star Search.

Labda ameshamtamani zuchu,,
 
Hivi Zuchu anaimba nyimbo Gani? Siamini kama Salama nayeye ni chawa njaa njaa kama wale wanaume wa kigoma.......Stara Thomas,Ray C,Jaydee..........hawa unaweza wafananisha na huyu bado ananuka maziwa ya mama yake bado?
Amezungumzia uandishi.
 
Wajameni em tuacheni roho mbaya na wivu kwa wasanii wetu, wengi wenu mnaotusi hum hata iyo interview hamjaisikia mngeelewa kilichozungumzwa.

Siku hizi muziki mzuri upo na unapimwa kupitia digital platforms, ambaoo kwa Tz msanii zuchu huwez mlinganisha na msanii yeyote wa muziki nchini tangu Tanganyika ipate uhuru na nchi ya Tz kuibuka.

Ukwel mchungu lazma usemwe ili wenye kuchukiwa wachukie na wenye kufurahi wafurahi, msanii ambaye kwa muda mfupi ameweza kuvuna maelfu ya wafuasi wengi kulko msanii yeyote EAST AFRICA ndan ya mtandao wa youtube, na anaongoza wa watazamaji wengi kulko msanii yeyote, na hili wengi hampendi kusikia sababu ya ushamba wenu wa kuzani muziki wa zamani ndio huu wa sasa, mambo yanabadirika acheni ushamba wenu, siku hizi tunakwenda na technolojia
Screenshot_20220620-001324~3.jpg
 
Mnataka kumfananisha zuchu na huyu mkimbizi ambaye views 1milion anajikusanya miaka6 ndipo apate wakt mwnzie hao 1m anawapata within 3/2 days jmn waTz kwann wagumu kuelewa?
Screenshot_20220620-001439~2.jpg
 
70Mil vws(sukari)....Hii ndiomaana ya hitsong yaan nyimbo inavuna wafuasi kwanzia mitaani, mpka mitandaoni, hawa ni baadhi ya views wa nyimbo moja ya zuchu ambao hawa huwez wapata kwa msanii yeyote wa kike ndan ya nchi hii ikiwezekana hata kwa East Africa, huyo nand na vanesa labda ukusanye nyimbo zao 20 ndio utapata thamani ya nyimbo moja SUKARI ya zuchu.

Tunaongea haya si kwa chuki bali ukwel unaopaswa kusemwa bila kuogopa wala kuwaofia haters hususan wanawake wenzie, nimeona humu jinsi wanawake mnavyompondea mwanamke mwenzenu ambaye kwa jitihada za kuinua muziki wa Tz zikife mbali nyie mnadharau, mnadharau wakat huko makwenu hata pesa ya bando inawasumbua.

Tupendane waTz mziki si uadui, ila inapaswa kuwapa heshima wale wanaostahili, na uzuri wa muziki haupimwi kwa uhodari wala ukongwe ktk game bali maajabu yako ya kufanikiw ktk muziki na kuwafanya wafuasi wengi wakuelewe na kukupenda.

Leo hii tukiwaambia vijana kwa nchi ya Tz hakuna msanii yeyote aliyewahi wala aliyepo wa kufikia level walizopo vijana wadogo akina diamond, alikiba na marioo, ndan ya muda mfupi wameweza kufanya makubwa ambayo hao wakongwe wenu wameshindwa licha ya kukaa kwenye game kwa muda mrefu,

Muziki wa sasa hauhitaji ujuaji mwingi wala hizo mbanga zenu za ushamba, bali ubunifu, jitihada na kuusambaza muziki nje ya afrika.

La mwisho, bila WCB mybe na alikiba kwa mbali, muziki wa Tz ungekuwa hovyo sana, na vile Tz hatuna tujivunialo ktk tasnia ya michezo(mpira) basi wacha muziki utustili wasanii waiwakilishe nchi yetu vizuri
Screenshot_20220620-001339~2.jpg
 
Never Ever, hii song inaniua mnooo niki banggggyyy aaaah wee.
Noumaaaaah!!!!
Iyo nyimbo ikihit uko kwenu tu? Mbona kwetu hatuijui? Uliza sukari ya zuchu mpaka mtoto mdogo ni shahidi anakuimbia nusu ya mistari ya nyimbo, weka chuki pembeni msapotini mwanamke mwenzenu ili muziki wa Tz ukue, or otherwise chuki hazijengi
 
Iyo nyimbo ikihit uko kwenu tu? Mbona kwetu hatuijui? Uliza sukari ya zuchu mpaka mtoto mdogo ni shahidi anakuimbia nusu ya mistari ya nyimbo, weka chuki pembeni msapotini mwanamke mwenzenu ili muziki wa Tz ukue, or otherwise chuki hazijengi
DA zuhura mbna una force sanaaa ukubalike? Si umeweka Ref zako hapa,. Sasa huruma ya nn tena? Relaaaaaaaax.
 
DA zuhura mbna una force sanaaa ukubalike? Si umeweka Ref zako hapa,. Sasa huruma ya nn tena? Relaaaaaaaax.
Kwann niforce huyo msanii akubalike wakt wew mwenyew unamkubali bali roho yako mbaya ya wivu inakufanya umuonee wivu mwanamke mwenzako akiyekuzidi kila kitu.

Ni muda wenu kuamka kiakili si kila jambo lahitaji chuki na hasira, sapoti yenu kwa wanawake wenzenu ni nzur kulko kuwaponda, anyway hapo una uwakika wa vocha? Ama njaa ni tatizo
 
Salama kuna kipindi aliwahi kudai wimbo wa inde wa dully sykes na harmonize ndio wimbo bora kwake,hili suala la watu maarufu kuwa na nguvu za kimtazamo na kimaamuzi ni baya sana kijamii.Unaona watu kama akina Steve nyerere kisa umaarufu basi hata ubunge unanyatiwa!
 
Salama amejaa udin na uzenji sana ukieelewa hilo unamaliza kazi huumizi kichwa, mfano kila anapomhoji mkristo mchunguze lazima ahoji din utasikia unadin sana au hauna, but akihojiwa muislam hukuti swali kama hilo wala la din chunguza, na kama mkristo akihojiwa akionekana anapenda dini utasikia unapenda din sana wewe huku kama akichukiachukia mchunguzeni nawapeni sili hiyo kwenye kipindi chake mtapata majibu
Kumbe umeliona hili mkuu,ni ukweli mtupu!
 
70Mil vws(sukari)....Hii ndiomaana ya hitsong yaan nyimbo inavuna wafuasi kwanzia mitaani, mpka mitandaoni, hawa ni baadhi ya views wa nyimbo moja ya zuchu ambao hawa huwez wapata kwa msanii yeyote wa kike ndan ya nchi hii ikiwezekana hata kwa East Africa, huyo nand na vanesa labda ukusanye nyimbo zao 20 ndio utapata thamani ya nyimbo moja SUKARI ya zuchu.

Tunaongea haya si kwa chuki bali ukwel unaopaswa kusemwa bila kuogopa wala kuwaofia haters hususan wanawake wenzie, nimeona humu jinsi wanawake mnavyompondea mwanamke mwenzenu ambaye kwa jitihada za kuinua muziki wa Tz zikife mbali nyie mnadharau, mnadharau wakat huko makwenu hata pesa ya bando inawasumbua.

Tupendane waTz mziki si uadui, ila inapaswa kuwapa heshima wale wanaostahili, na uzuri wa muziki haupimwi kwa uhodari wala ukongwe ktk game bali maajabu yako ya kufanikiw ktk muziki na kuwafanya wafuasi wengi wakuelewe na kukupenda.

Leo hii tukiwaambia vijana kwa nchi ya Tz hakuna msanii yeyote aliyewahi wala aliyepo wa kufikia level walizopo vijana wadogo akina diamond, alikiba na marioo, ndan ya muda mfupi wameweza kufanya makubwa ambayo hao wakongwe wenu wameshindwa licha ya kukaa kwenye game kwa muda mrefu,

Muziki wa sasa hauhitaji ujuaji mwingi wala hizo mbanga zenu za ushamba, bali ubunifu, jitihada na kuusambaza muziki nje ya afrika.

La mwisho, bila WCB mybe na alikiba kwa mbali, muziki wa Tz ungekuwa hovyo sana, na vile Tz hatuna tujivunialo ktk tasnia ya michezo(mpira) basi wacha muziki utustili wasanii waiwakilishe nchi yetu vizuriView attachment 2266068
Unatema madini tupu kiongozi safi sana
 
Back
Top Bottom