Kuna same scenario kama hiyo nataka maelezo.
Naomba nisaidie notes za law of business associations, alternative dispute resolution na Private International law.Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.
Binafsi nina e-library kubwa sana na napenda kushirikisha wengine kwa hivi vitu, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.
Pia mjadala wowote wa kisheria ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.
Wanasheria karibuni sana
BRO MBONA NINAPATA TABU YA KU TUMA PM KWAKO? I WOULD NEED HELP TO THOSE MATERIALS NDUGU.Kama unataka Instruments za Public International Law, au International Humanitarian Law niPm. The man himself Dr. Chacha Bhoke Murungu ametu~equip sana vijana wake.
no. 0652 237512Namba tafadhari kwa ajili ya JF Bar WhatsApp group
no. 0652 237512
naomba uniunge mkuu
Asante sana mkuu kwa kanzi nzuri.Naomba utuwekee na vitabu vya administrative law.
Naomba msaada wa SHERIA YA ELIMU na. 25 ya 1978 na marekebisho yake mkuu.Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.
Binafsi nina e-library kubwa sana na napenda kushirikisha wengine kwa hivi vitu, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.
Pia mjadala wowote wa kisheria ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.
Wanasheria karibuni sana
Naomba mni add 0759460615Mkuu No ni 0762 98 36 24.. Jina la group kwangu liwe "LEGAL JURIST"
Na Mimi 0755 395572Naomba mni add 0759460615
no. 0652 237512
naomba uniunge mkuu
Na Mimi 0755 395572
Criminal case inafunguliwa na ofisi ya DPP ama mtu binafsi kwa kibali cha Dpp.Kazi yako kama raia ni kuripoti polisi as perbl Sect.7 ya CPA.Jinai mshtaki ni Jamuhuri.Can some please explain for me the procedures on how to institute criminal case in primary court.... Make nimejaribu soma MCA na PCCPC sijaelewa... Msaada please
PRIMARY COURT NA CPA MSOMI?Criminal case inafunguliwa na ofisi ya DPP ama mtu binafsi kwa kibali cha Dpp.Kazi yako kama raia ni kuripoti polisi as perbl Sect.7 ya CPA.Jinai mshtaki ni Jamuhuri.