Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Mkuu dragon, na Waheshimiwa wengine wote hapa ndani, Salaam!

Tafadhali sana, naombeni msaada wa haraka wa kuipata nakala (Authority) ya Hukumu ya Kesi hii ambayo nadhani ni ya muhimu sana:

Ni Kesi inayoitwa;

"Salehe Komba na Mwenzake, dhidi ya Tanzania Posts Corporation, Revision Na. 12 ya mwaka 2018 iliyotolewa katika Mahakama Kuu, Mwanza, by Matupa J"

Ambapo Mahakama Kuu ilitoa uamuzi kuwa Mashirika ya Umma kama Tanzania Posts Corporation, TANESCO n.k hayakulengwa na kipengele cha 32A cha marekebisho ya ya mwaka 2016 ya Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 katika kutatua migogoro ya Kiajira baina ya Mfanyakazi na Mwajiri.

Natanguliza shukrani.
 
Mkuu dragon, na Waheshimiwa wengine wote hapa ndani, Salaam!

Tafadhali sana, naombeni msaada wa haraka wa kuipata nakala (Authority) ya Hukumu ya Kesi hii ambayo nadhani ni ya muhimu sana:

Ni Kesi inayoitwa;

"Salehe Komba na Mwenzake, dhidi ya Tanzania Posts Corporation, Revision Na. 12 ya mwaka 2018 iliyotolewa katika Mahakama Kuu, Mwanza, by Matupa J"

Ambapo Mahakama Kuu ilitoa uamuzi kuwa Mashirika ya Umma kama Tanzania Posts Corporation, TANESCO n.k hayakulengwa na kipengele cha 32A cha marekebisho ya ya mwaka 2016 ya Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 katika kutatua migogoro ya Kiajira baina ya Mfanyakazi na Mwajiri.

Natanguliza shukrani.
Ninayo, lakini nimejaribu kui-upload bila mafanikio!
 
Mahututi ipi! Maana mahututi kuna aina nyingi, kuna kuwa mahututi usiweze andika nakama ameweza kuandika hiyo mahututi inakujaje! Mi nadhani wosia unaweza kuandikwa na mtu mda wowote pale anapoamua kufanya hivyo! Chamsingi uwe umeandikwa na yeye marehem ikiwepo sahihi yake au chini ya mashahidi watatu ambao aliandika mbele yao, nakama anaweza kuandika anaumwa nibora zaidi kuusajiri pia.
 
Habari yako ndugu Dragon? mimi ni mzima wa afya.
Hivi kuna malipo yoyote yanatakiwa endapo umeshitakiwa baraza la kata?
maana nimeambiwa nitoe elfu 30,000/= ya nauli.
Naombeni msaada wenu, hili suala limekaaje mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachangia gharama za kufika eneo la mgogoro. Hamna sheria inayosema nani atoe hiyo fedha ila mabaraza mengi huwa wanawachangisha wahusika wote wawili katika kesi.
Habari yako ndugu Dragon? mimi ni mzima wa afya.
Hivi kuna malipo yoyote yanatakiwa endapo umeshitakiwa baraza la kata?
maana nimeambiwa nitoe elfu 30,000/= ya nauli.
Naombeni msaada wenu, hili suala limekaaje mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naombeni kuuliza wakuu,,, hivi hakimu wa mahakama ya mwanzao ambaye alisaini katika wosia flani kama shahidi, je anaweza kuja kusikiliza shauri lolote linalohusu wosia ule hapo baadae? kama kuna sheria inatamka hilo au kesi yoyote ile mnisaidie wakuu
 
Back
Top Bottom