Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Kuna same scenario kama hiyo nataka maelezo.

Mkuu baba hawezi kuhusika kwa vyovyote kwa jinai au kosa lililofanywa na mtoto. Pia hakuna jinsi mali za baba zinaweza kuhusianishwa na makosa ya mtoto.

Labda kama baba alimdhamini kwenye hiyo kampuni au kuna taarifa anazo na hataki kuzitoa kwa kumlinda mtoto, lakini bado ni ngumu kumhusisha!
 
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.

Binafsi nina e-library kubwa sana na napenda kushirikisha wengine kwa hivi vitu, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.

Pia mjadala wowote wa kisheria ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.

Wanasheria karibuni sana
Naomba nisaidie notes za law of business associations, alternative dispute resolution na Private International law.
 
Kama unataka Instruments za Public International Law, au International Humanitarian Law niPm. The man himself Dr. Chacha Bhoke Murungu ametu~equip sana vijana wake.
BRO MBONA NINAPATA TABU YA KU TUMA PM KWAKO? I WOULD NEED HELP TO THOSE MATERIALS NDUGU.
 
Habari yako mkuu?
nimemkopesha mtu bila maandishi, kwenye kulipa ananikwepa.
Naweza kumfungulia kesi?
 
Asante sana mkuu kwa kanzi nzuri.Naomba utuwekee na vitabu vya administrative law.
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.

Binafsi nina e-library kubwa sana na napenda kushirikisha wengine kwa hivi vitu, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.

Pia mjadala wowote wa kisheria ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.

Wanasheria karibuni sana
Naomba msaada wa SHERIA YA ELIMU na. 25 ya 1978 na marekebisho yake mkuu.
 
Can some please explain for me the procedures on how to institute criminal case in primary court.... Make nimejaribu soma MCA na PCCPC sijaelewa... Msaada please
 
Can some please explain for me the procedures on how to institute criminal case in primary court.... Make nimejaribu soma MCA na PCCPC sijaelewa... Msaada please
Criminal case inafunguliwa na ofisi ya DPP ama mtu binafsi kwa kibali cha Dpp.Kazi yako kama raia ni kuripoti polisi as perbl Sect.7 ya CPA.Jinai mshtaki ni Jamuhuri.
 
67 Reactions
Reply
Back
Top Bottom