Jaffary
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 806
- 384
Kuna same scenario kama hiyo nataka maelezo.
Mkuu baba hawezi kuhusika kwa vyovyote kwa jinai au kosa lililofanywa na mtoto. Pia hakuna jinsi mali za baba zinaweza kuhusianishwa na makosa ya mtoto.
Labda kama baba alimdhamini kwenye hiyo kampuni au kuna taarifa anazo na hataki kuzitoa kwa kumlinda mtoto, lakini bado ni ngumu kumhusisha!