Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,154
Tangu aliporithi madaraka ya urais, ni kipi haswa alichokifanya mpaka sasa?
Kitu cha kushikika na kuonekana ambacho ukikitizama unasema naam hapa jambo limetendeka?
Kuna wapambe wasio na vichwa watasema Samia amedhibiti mfumuko wa bei.
Maana tangu alipoingia ikulu, kikubwa alichokifanya ni kuhamasisha machanjo.
Baada ya hapo akawa anatimka anakimbilia Ulaya mara Omani.
Jumatatu yuko Dar es salaam, Jumanne unashtukia kashatoroka katimkia Marekani. Utamsikia tu kwenye magazeti ya udaku.
Bei za bidhaa hazishikiki, kila kitu ukigusa ni moto.
Juzi hapa katoroka kaenda kuigiza filamu ya wanyama. Wala hashughuliki na mfumuko wa bidhaa wala kujigusa hata kutoa ufafanuzi watu waelewe.
Unashtukia tu ghafla katimka yuko sijui nchi gani. Anachokifanya hata hakijulikani.
Wale wapambe na ving'asti wa kuabudu wafalme, watuambie samia katenda jambo lipi la kushikika na kuonekana mpaka muda huu.
Mimi sijaona.
Kitu cha kushikika na kuonekana ambacho ukikitizama unasema naam hapa jambo limetendeka?
Kuna wapambe wasio na vichwa watasema Samia amedhibiti mfumuko wa bei.
Maana tangu alipoingia ikulu, kikubwa alichokifanya ni kuhamasisha machanjo.
Baada ya hapo akawa anatimka anakimbilia Ulaya mara Omani.
Jumatatu yuko Dar es salaam, Jumanne unashtukia kashatoroka katimkia Marekani. Utamsikia tu kwenye magazeti ya udaku.
Bei za bidhaa hazishikiki, kila kitu ukigusa ni moto.
Juzi hapa katoroka kaenda kuigiza filamu ya wanyama. Wala hashughuliki na mfumuko wa bidhaa wala kujigusa hata kutoa ufafanuzi watu waelewe.
Unashtukia tu ghafla katimka yuko sijui nchi gani. Anachokifanya hata hakijulikani.
Wale wapambe na ving'asti wa kuabudu wafalme, watuambie samia katenda jambo lipi la kushikika na kuonekana mpaka muda huu.
Mimi sijaona.
