Legacy ya Samia Suluhu Hassan ni ipi?

Legacy ya Samia Suluhu Hassan ni ipi?

Tangu aliporithi madaraka ya urais, ni kipi haswa alichokifanya mpaka sasa?

Kitu cha kushikika na kuonekana ambacho ukikitizama unasema naam hapa jambo limetendeka?

Kuna wapambe wasio na vichwa watasema Samia amedhibiti mfumuko wa bei.

Maana tangu alipoingia ikulu, kikubwa alichokifanya ni kuhamasisha machanjo.

Baada ya hapo akawa anatimka anakimbilia Ulaya mara Omani.

Jumatatu yuko Dar es salaam, Jumanne unashtukia kashatoroka katimkia Marekani. Utamsikia tu kwenye magazeti ya udaku.

Bei za bidhaa hazishikiki, kila kitu ukigusa ni moto.

Juzi hapa katoroka kaenda kuigiza filamu ya wanyama. Wala hashughuliki na mfumuko wa bidhaa wala kujigusa hata kutoa ufafanuzi watu waelewe.

Unashtukia tu ghafla katimka yuko sijui nchi gani. Anachokifanya hata hakijulikani.

Wale wapambe na ving'asti wa kuabudu wafalme, watuambie samia katenda jambo lipi la kushikika na kuonekana mpaka muda huu.

Mimi sijaona.

Tozo na mikopo
 
Kum
Tangu aliporithi madaraka ya urais, ni kipi haswa alichokifanya mpaka sasa?

Kitu cha kushikika na kuonekana ambacho ukikitizama unasema naam hapa jambo limetendeka?

Kuna wapambe wasio na vichwa watasema Samia amedhibiti mfumuko wa bei.

Maana tangu alipoingia ikulu, kikubwa alichokifanya ni kuhamasisha machanjo.

Baada ya hapo akawa anatimka anakimbilia Ulaya mara Omani.

Jumatatu yuko Dar es salaam, Jumanne unashtukia kashatoroka katimkia Marekani. Utamsikia tu kwenye magazeti ya udaku.

Bei za bidhaa hazishikiki, kila kitu ukigusa ni moto.

Juzi hapa katoroka kaenda kuigiza filamu ya wanyama. Wala hashughuliki na mfumuko wa bidhaa wala kujigusa hata kutoa ufafanuzi watu waelewe.

Unashtukia tu ghafla katimka yuko sijui nchi gani. Anachokifanya hata hakijulikani.

Wale wapambe na ving'asti wa kuabudu wafalme, watuambie samia katenda jambo lipi la kushikika na kuonekana mpaka muda huu.

Mimi sijaona.

Kumtuhumu Mbowe ugaidi mbele ya tv na mwishowe kumuita ikulu kwa maongezi.
 
Tangu aliporithi madaraka ya urais, ni kipi haswa alichokifanya mpaka sasa?

Kitu cha kushikika na kuonekana ambacho ukikitizama unasema naam hapa jambo limetendeka?

Kuna wapambe wasio na vichwa watasema Samia amedhibiti mfumuko wa bei.

Maana tangu alipoingia ikulu, kikubwa alichokifanya ni kuhamasisha machanjo.

Baada ya hapo akawa anatimka anakimbilia Ulaya mara Omani.

Jumatatu yuko Dar es salaam, Jumanne unashtukia kashatoroka katimkia Marekani. Utamsikia tu kwenye magazeti ya udaku.

Bei za bidhaa hazishikiki, kila kitu ukigusa ni moto.

Juzi hapa katoroka kaenda kuigiza filamu ya wanyama. Wala hashughuliki na mfumuko wa bidhaa wala kujigusa hata kutoa ufafanuzi watu waelewe.

Unashtukia tu ghafla katimka yuko sijui nchi gani. Anachokifanya hata hakijulikani.

Wale wapambe na ving'asti wa kuabudu wafalme, watuambie samia katenda jambo lipi la kushikika na kuonekana mpaka muda huu.

Mimi sijaona.
Mkuu Mama anaupiga mwingi halaf wewe ndo Mama alisema watu Kama nyie mnaomkosoa kuhus Safari zake mnauelewa wa kawaida yaani akiwa Kama kiongozi mkubwa alishindwa kusema ni wajinga atakuwa ametukana raia Wake hivyo akasema hyo kauri kiuhalisia alimaanisha kuwa ni wajinga
 
Hii vita ya Urusi na ile hali ilivyokuwa mbaya chini ya Jiwe, Tungepotea kabisa.

Vitu vipo juu na watu wananua power ya demand and supply hiyo uchumi upo safi.
Jiwe kipindi cha corona dunia nzima iliufyata kidume bado alitamba. .itakuwa io vita yenu ya watu wa wili
 
Back
Top Bottom