tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Katikati ya lecture jamaa akaanza kuuza chai, "enzi hizo nipo kijijini nilikuwa nakimbia balaa, kuna siku nilimkimbiza swala mpaka nikamkamata..." kabla hajamalizia simu yake iliita na akaenda kuongelea nje, aliporudi akawauliza wanafunzi niliishia wapi? Wakamwambia pale ulipomkamata.. Akaendelea..." nilipomkamata nikaanza kumdunda mangumi, nikamwambia unalipa au hulipi hela yangu..."