Lets Share
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 517
- 722
Kutii ni dalili ya nidhamu na adabu, uhuru wa kuongea ni matokeo ya demokrasia kukua.Unajua kwanini waliitii? Walikuwa na uhuru wa kuongea kama sisi? Halafu kwako wewe katiba na tamaduni ndo vya kuheshimiwa kuliko maandiko matakatifu? SMH
Hata kwenye maandiko tunaona ndugu yetu mwenye hekima alivyotumia hekima yake vema kwa wanawake 🤝🤝

