huyu atakua mke.wa pili na kule marekan hawezi rudi tenaKwa hiyo anaoa mke wa pili?
huyu atakua mke.wa pili na kule marekan hawezi rudi tenaKwa hiyo anaoa mke wa pili?
officially jamii forums imekua mtandao wa udaku.
ni siri ya ndani wakati mchapaji ni mtu wa nje? inakuwaje hapo?tehe tehe,ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani lol:smile-big:
Over 50 siyo umri wa mtu. Wewe taja hapa umri wake kama unaujua.
Over 50 siyo umri wa mtu. Wewe taja hapa umri wake kama unaujua.
.......mbona le mutuz bado kijana huyooo!! Mengi anaishi na dogodogo, atakuwa le mutuz!!
officially jamii forums imekua mtandao wa udaku.
best fanya mpango basi tupate card...Hahaha lmbfao.
Ngoja nisiseme khaa.
best fanya mpango basi tupate card...
kuna mtu atatufadhili kwa mavazi na kila kitu, tutatokelezea kama wao