le mutuz needs to drop couple of pounds,eti naye ni celeb,..
nasikia alikuwa model wa fubu alipokuwa new york..hahahaha,big things you know,wabebs wananizimika.
Hapa ni mahali pa fikra pevu juu ya siasa. Katika thread hii sioni siasa wala fikra zilizo pevu. Nimeshindwa hata kupata madhumuni ya mtanga. Jamani tunaanza mwaka 2014 ambapo ktk chaguzi za mitaa tunatakiwa kuonyesha tusivyoitaka ccm. Ili tufanikiwe muda ni sasa. Tuache ya mzaha tueneze mabadiliko. Ya mzaha waachie wao wameyazoea.
Katika picha ya mwanzo ni kimada wa lemutuz wa sasa na aliyewahi kuwa mke wake kabla ya kuachana baada ya kufumaniwa akibanjua amri ya sita na mwanaume mwenzake,ya chini kabisa ni kimada ea lemutuz,x wife wake na mtoto wao kigori cha miaka 14
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.