Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
jamaa si ana watoto,.Umri wa Le Mutuz kufunga ndoa, ana miaka 55
Miaka 56 - Kupata mtoto wa kwanza
Miaka 62 - Mtoto anaanza darasa la kwanza
Miaka 69 - mtoto anamaliza darasa la saba
Miaka 71 - mtoto anaanza form one
Miaka 75 - mtoto anamaliza form four
miaka 76 - Mtoto anaanza form five
Miaka 77 - mtoto anamaliza form six
Miaka 78 - mtoto anaanza chuo mwaka wa kwanza
Miaka 81 - Mtoto anamaliza chuo
Miaka 83 - Mtoto ameanza ajira
Miaka 84 - Mtoto for first time anamnunulia gift baba yake
Miaka 85 - Baba anakufa, mtoto anachukua nafasi ya Baba kuwalea wadogo zake