Mh2
Member
- Apr 7, 2014
- 90
- 11
Jamani Natamani hata kwenda kijiji leo hii. MWANZA hakufai hata kidogo. Jamani sijawahi kuona tangu nizaliwe. Sijajua manake hawa sio mapolisi niwajuao ,wamevaa kama wanajeshi, nimepita mabati wanapiga gwalide,yani kesho ni Noma. Lazima mtu afe kwa namna yeyote ile. Hatari mi siwatishi ila mimi mwenyewe nimetishika, wako wengi mno,sijajua wametoka wapi wote hawa na kunamagari ninoma.