Dah, Ndugu Zema21. Bora umenishtua maana nimeingia chaka.
Ila nina mashaka na TANAPA kuhusu magari kuingia bila kulipa entry fee???
Huko TANAPA pia kuna network mbaya ya watu wanaomsaidia Ahsante Tours na informa wa Ahsante.
Pia kwa nini Nyalandu amtetee Ahsante tours????
Nimesoma maoni ya watu wote na nimejifunza. OK
Ila nina mashaka na TANAPA kuhusu magari kuingia bila kulipa entry fee???
Huko TANAPA pia kuna network mbaya ya watu wanaomsaidia Ahsante Tours na informa wa Ahsante.
Pia kwa nini Nyalandu amtetee Ahsante tours????
Nimesoma maoni ya watu wote na nimejifunza. OK