GE2025 Lazaro Nyalandu arejea ulingoni tena, achuku fomu jimbo la Ilongero, Singida

GE2025 Lazaro Nyalandu arejea ulingoni tena, achuku fomu jimbo la Ilongero, Singida

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Aliyewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amechukua fomu ya kuwania ubunge katika Jimbo la Ilongero mkoani Singida.

Nyalandu amewahi kuwa mbunge wa jimbo hilo zamani likiitwa Singida Kaskazini kwa vipindi viwili, amekabidhiwa fomu hiyo mapema leo Juni 28, 2025 na Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya, Hanzurun Mtebwa

Itakumbukwa kuwa Nyalandu aliwahi kuhama CCM na utimkia CHADEMA ambapo mwaka 2020, alichukua fomu ya kuwania Urais kupitia CHADEMA.
SaveClip.App_513882181_18506879104024471_5463914615450051328_n.jpg
 
Yaani kila mtu anaona sehemu nzuri ya kwenda kupata fedha za bure bila kuhangaika ni bungeni.Taifa hili linaangamia kwa watanzania na viongozi wake kukosa maarifa
 
Kesho ma keshokutwa atawaakbia vijana wajiajiri... 🤣😂
 
Kazi ipo aisee ukitoka Bungeni muda wote unatamani urudi huko huko na mkiwa huko mnawaambia vijana wajiajiri umetoka na mtaji bungeni umeshindwa kujiajiri unatamani kurudi huko huko tena..
Utawasikia wanasema ubunge hauna maslahi yoyote, vijana mjiajiri unaweza kujiajiri sio mpaka uwe na mtaji😄😄
 
Kazi ipo aisee ukitoka Bungeni muda wote unatamani urudi huko huko na mkiwa huko mnawaambia vijana wajiajiri umetoka na mtaji bungeni umeshindwa kujiajiri unatamani kurudi huko huko tena..
Wapumbavu sana Hawa ..wakianzaga kuongea hayo mavi yao hua nazima tv.
 
Back
Top Bottom