Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,809
- 8,861
Hongera sana wa nyumbani..kwa wale ambao hamjui....Mafuru ndo Masanilo. So keep your heads up kwa utendaji unaoendana na taaluma yake.... Upele umepata mkunaji.....lol...
Hongera sana Port! Nakutakia utendaji mwema wenye mafanikio. Lakini nakuasa...Usituaibishe kama yule jirani yetu mwingine aliyeiba kodi za wakulima na wavuvi wa nchi hii...na kuhamishia vijisent huko kwa akina Mwanakijiji!
Hongera sana Port! Nakutakia utendaji mwema wenye mafanikio. Lakini nakuasa...Usituaibishe kama yule jirani yetu mwingine aliyeiba kodi za wakulima na wavuvi wa nchi hii...na kuhamishia vijisent huko kwa akina Mwanakijiji!