Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,449
- 574
mi huwa nazpata sana ad nshazoea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamaanisha usalama wa maisha, hiki ni kizazi kingine kabisaa tofauti na kizazi cha mababu zetu. Leo hii ukisema mimi sitaki kutumia simu ili nifanane na enzi za mababu zetu jamii itakushangaa. Tunapaswa kuendana na mabadiliko hasa katika teknolojia.
Huu ni ubaya au uzuri?
Ni wanaume wachache wenye positive perception kama wewe. Keep it up.
Just simple... Kama wewe unavyotaka ujue yeye atakuwa wapi na sa ngapi vivyo hivyo nae anatamani ajue ratiba zako.
Nawasilisha.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
mzabzab wewe unatoa taarifa?
Kwani mumeo au mkeo ni wazazi .controlling and narcissistic partners ndio wanaoleza ratiba zao.no body runs my lifeHabari za jumapili mabibi na mabwana.....
Ningependa leo tujadiliane kuhusu LAWAMA hasa kutoka kwa wanawake. Kwa mfano, mmeo/boyfriend wako anapenda uwe unamjulisha ratiba zako. Ukitoka kazini au kwenye biashara zako utapitia wapi mpaka unapofika nyumbani lakini kwake yeye ni kinyume haweki wazi ratiba zake. Unaweza ukampigia simu kumuuliza yu wapi kwa wakati huo yeye akakujibu nipo kwenye kikao cha harusi (achilia mbali vikao vya kikazi au kibiashara hapa havihuasini) lakini hakukujulisha. Wewe mwanamke unaanza kulaumu ooh mbona hukuniambia kitambo mbona mimi hutoa ratiba zangu hata za salon?
Wanaume mnawachukuliaje wanawake wenye kulaumu kila wakati? Je ni sawa?
Wanawake je mnahandle vipi situation kama hii ya kulaumu laumu?
Karibuni kwa mjadala.
mie bwana ninapenda uwazi na taarifa...mambo yakuwekana roho juu juu mie sipendi. hivyo mie naona sawa tuu mke gf wangu kujua mizunguko yangu itakuwaje.
mie bwana sipo katika relationship kama ujuavyo hivyo sidhani kama prostitute anahitaji mie kumpa taarifa nipo wapi.
am just saying hiyo for those who are in a relationship. unajua mtu ukimpenda alafu akwambii pirika zake anakuweka roho juu juu....hilo nilijifunza siku mama mzazi aliaga home kuwa anaenda sehemu and expected time atakaporudi...ah nimetulia home namsubiria naona muda unaenda tuu na wakati huo hamna hizi cellphones basi roho juu juu huna amani. so i think ni ustaarabu kumwambia umpendaye mizunguko yako ikoje na pia hii inadumisha trust maana kweli akikucheki na kweli upo sehemu uliyosema utakuwepo inampa imani kuwa huyu ni msema kweli. dnt ever ever plant seeds of doubt kwa mwenzi wako....and it starts by u being open abt ur day to day ways
Ni kweli.i can't imagine Natalia eti mume wangu ajue ratiba divorce siku hiyo hiyoSamahani wakuu kutumia mfano halisi katika kipindi cha majozi.
mzee Joseph Mwasokwa ameuawa kwa kuchinjwa usiku wa kuamkia leo jijini Mbeya na mwili wake kukutwa kwenye geti la nyumba yake, na inasadikiwa alikuwa kutazama mpira nyumba ya jiran, je ratiba ingesaidia kuokoa uhai wa mzee wetu? jibu ni hapana.
Mambo mengine katika ndoa nikujichanganya tu wakuu na kujitafutia pressure zisizo na maana wala lazima.
Kijana ukitulia upo fresh!
asante sana. ah unajua ukiingia kwenye relationship its no longer abt me its abt us. sasa wewe unashida gani kusema mizunguko yako kama kweli wewe huna baya unalofanya? alafu inasaidia ata kitu kikitokea people know wer to find u.
So una deal na prostitutes? Shocked.
Uneoa stranger nini?ratiba for what ?
well its not sumthing to be proud off but ladies dnt want sexmate relationships, i dnt want a serious relation since i know i will have to forego my freedom na mwili nao ndio unawaka moto...either i become a master of masturbation or go to prostitutes. i chose the latter
mie bwana ninapenda uwazi na taarifa...mambo yakuwekana roho juu juu mie sipendi. hivyo mie naona sawa tuu mke gf wangu kujua mizunguko yangu itakuwaje.