Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,308
- Thread starter
- #201
Padri alihubiri akasema, Biblia inasema kuwa wasiotubu, wakiendelea kutenda dhambi watalia na kusaga meno siku ya hukumu. Kibogoyo 1 akacheka, akamnong'oneza mwenzake akasema,"Sisi tumebarikiwa kwa sababu hii adhabu ya kusaga meno kwetu haipo', Asante Yesu......."