Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 119,056
- 141,855
Hiyo issue itakuwa ilitokea baada ya mimi kuondoka au kabla sijafika... nilipita pande hizo jana, na palikuwa kimya...
Kumbe Ni Wewe??kutongozwa ndo kuwa na hisia?
Mchele mwingi kuku wachache mama tutavimbiwaHeeee
Kumbe Urban Gentlemen Umeooooaa? !
Du
Na kunisumbua kote kule mpaka nikaku block, kweli leo nimekamata mwizi!
Shame on u!
[HASHTAG]#PYTHONWAKIUMEAU?![/HASHTAG]
Mida ya saa mbili kwenda saa tatu sababu nilitoka mikocheni kwa warioba kwenye saa moja na dakika 42Hiyo issue itakuwa ilitokea baada ya mimi kuondoka au kabla sijafika... nilipita pande hizo jana, na palikuwa kimya...
Well thanks for compliment but dead and gone!Wewe na yeye wote sawa
Muache ku preach msichokifanya
Practice what u preach guys!
Huyo mnamwita python wa kike mnamwonea tu nyie wanaume mpo ivo ivo
Utajiju plus kanitongoza nikamwambia me mke wa mtu bado akajidai anakomaa na mie
Very stupid and immature of him
That's why nimeshangaa kaoaaa?!
Shikamoo Muke ya Urban Gentlemen
Mungu amsaidie
pole sana...unajiumiza tu...hao sio bure wana fukuto ndani af kidume design kalogwa na mchepuko hahaha .jjust kidding but its a touching story..hjamaa laiteleza sa sijui anapewa nini na mchepukohivi mara ya mwisho kuwa kwenye mahusiano sijui ni lini.sina hata hisia na mwanaume .akili zenu moja .
kalogwa na mchepuko tu huyo si bureDah!!!aiseeh kuna wanaume wana roho za kikatili jamni.badala ya kumtetea mke yeye anamtetea mchepuko!!kha!!nisamehe Mungu maana kwa ninavyojijua lazima ningemmwaga mwanaume damu japo kidogo.
Siezi shughulika na mchepuko hata robo maana kama si mwanaume huyo mchepuko asingepata jeur ya kumkoromea mke wa ndoa
sanaNi kweli kabisa mkuu...ni vyema kabisa ulivyosema..kuchezea hisia za mwanamke waziwazi ni jambo hatari sana
Delicious kitu gani ..wale kuku wa kupaka? au yele manini...pizzaMkuu KFC ya bongo habari nyingine vigumu kujizuia. Nimekula KFC za wazungu lakini ya bongo ni kiboko ni delicious kushinda maelezo. Mara moja moja sio mbaya lakini ukweli Sio nzuri kwa afya kiviiileee!
lolBaridaaa
Ukiona hivi ujue una trauma kali sana. Samehe na ujisamehe la sivyo athari yake ni kubwa mno.hivi mara ya mwisho kuwa kwenye mahusiano sijui ni lini.sina hata hisia na mwanaume .akili zenu moja .
Kabisa kabisa mkuu maana si kwa dharau hizo alizomfanyia mkew wakekalogwa na mchepuko tu huyo si bure
Duuuuuh!!!!!Heeee
Kumbe Urban Gentlemen Umeooooaa? !
Du
Na kunisumbua kote kule mpaka nikaku block, kweli leo nimekamata mwizi!
Shame on u!
[HASHTAG]#PYTHONWAKIUMEAU?![/HASHTAG]
Dah umewahi kutujaribu sote??hivi mara ya mwisho kuwa kwenye mahusiano sijui ni lini.sina hata hisia na mwanaume .akili zenu moja .