Last night at KFC mikocheni

Hiyo issue itakuwa ilitokea baada ya mimi kuondoka au kabla sijafika... nilipita pande hizo jana, na palikuwa kimya...
Mida ya saa mbili kwenda saa tatu sababu nilitoka mikocheni kwa warioba kwenye saa moja na dakika 42
 
Wewe na yeye wote sawa
Muache ku preach msichokifanya
Practice what u preach guys!
Huyo mnamwita python wa kike mnamwonea tu nyie wanaume mpo ivo ivo
Utajiju plus kanitongoza nikamwambia me mke wa mtu bado akajidai anakomaa na mie
Very stupid and immature of him
That's why nimeshangaa kaoaaa?!
Shikamoo Muke ya Urban Gentlemen
Mungu amsaidie
Well thanks for compliment but dead and gone!
 
hivi mara ya mwisho kuwa kwenye mahusiano sijui ni lini.sina hata hisia na mwanaume .akili zenu moja .
pole sana...unajiumiza tu...hao sio bure wana fukuto ndani af kidume design kalogwa na mchepuko hahaha .jjust kidding but its a touching story..hjamaa laiteleza sa sijui anapewa nini na mchepuko
 
Dah!!!aiseeh kuna wanaume wana roho za kikatili jamni.badala ya kumtetea mke yeye anamtetea mchepuko!!kha!!nisamehe Mungu maana kwa ninavyojijua lazima ningemmwaga mwanaume damu japo kidogo.

Siezi shughulika na mchepuko hata robo maana kama si mwanaume huyo mchepuko asingepata jeur ya kumkoromea mke wa ndoa
kalogwa na mchepuko tu huyo si bure
 
Mkuu KFC ya bongo habari nyingine vigumu kujizuia. Nimekula KFC za wazungu lakini ya bongo ni kiboko ni delicious kushinda maelezo. Mara moja moja sio mbaya lakini ukweli Sio nzuri kwa afya kiviiileee!
Delicious kitu gani ..wale kuku wa kupaka? au yele manini...pizza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom