Last night at KFC mikocheni

Tunajidanganya tu kuwa sisi ni watu poa, waungwana na wenye upendo. Ila hakuna watu wabinafsi, wanafiki na wazushi kama watanzania hasa linapokuja suala la kuwatendea wenzao. Dah huyo jamaa ni mbinafsi wa hali ya juu. unaweza kusababisha uhai wa mtu ukakoma.
 
Hao wataelewana tu, mambo ya ndoa ni makubwa, niliwahi kusuluhisha migogoro ya ndoa za ndugu zang na marafiki pia ingawa sijaoa lkn yafaa wawili wakae pamoja waamue na mara nyingi sana mwishoni huwa ni kurudiana
 
I wishi i kuldi bi braza yake jamaa hasingekuwa salama mpka mda huu..
 
Kumamayo mke unikute na mchepuko uanze kunikoromea utanijua mi nani hakiamungu walai nisubiri nyumbani ndio unikoromee
Tuwe fair ila mimi ukinikuta hapo hapo unaniadabisha,Usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzako.Sisi ni wavumilivu sana sana so usimchukulie poa mkeo mheshimu tu hata kama unamakandokando
 
Heeee
Kumbe Urban Gentlemen Umeooooaa? !
Du
Na kunisumbua kote kule mpaka nikaku block, kweli leo nimekamata mwizi!

Shame on u!
[HASHTAG]#PYTHONWAKIUMEAU?![/HASHTAG]
Are you matured?
Haya ni mambo ya kuyaongea humu so unataka kumchafulia na yeye aonekane ni mbaya au vipi ..aise sijawah ona hii, unakuja kwenye hadhira kama hii kumsema mtu ambaye yumo humu humu na zaidi kwemye uzi wake kwamba alikutongoza , ..sasa perioud ya yeye ameoa na mda ambao aliku approach ni mda gani?
mtu ameku approach ..umemkataa hadi umemblock si basi...
yan wanawake wa aina yako ni wasiostaarabika na haujafundwa ukafundika. Huna staha ya maneno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…