kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,998
- 2,414
Hujawahi kuoa wewe ila kuolewa. Naungana na point ya Nokia83Umeoa mkuu? Basi huwajui vizuri waliooa? Siku hizi hawajifichi
Hujawahi kuoa wewe ila kuolewa. Naungana na point ya Nokia83Umeoa mkuu? Basi huwajui vizuri waliooa? Siku hizi hawajifichi
Ni wakati muafaka kwa mwanaume tujitafakari hasa tukienda PM. Wenzetu nao wana damu tusiwadanganye UrbanGentlemanMiezi mingap cha uongo wewe
Basi nakustahi mkeo asije akasoma bure mkatibuana
Ila u python u a cheee. . Mungu anakuonaaa
Nimekupata sana ila ukioa unaweka yote pembeni unaanza upya utakua umenielewa vyema sana kama ukifatilia thread zangu kwa kinaNi wakati muafaka kwa mwanaume tujitafakari hasa tukienda PM. Wenzetu nao wana damu tusiwadanganye UrbanGentleman
muombe msamaha Money Penny yaishe maana umemuumiza na inaonekana alikuwa ameisha kukubali. Hii itaniharibia maana nami ataniona tapeli siku nikimdondokea!Nimekupata sana ila ukioa unaweka yote pembeni unaanza upya utakua umenielewa vyema sana kama ukifatilia thread zangu kwa kina
Si ungeenda inbox...au ulitaka tujue ulitongozwa?..tumejua basi.Heeee
Kumbe Urban Gentlemen Umeooooaa? !
Du
Na kunisumbua kote kule mpaka nikaku block, kweli leo nimekamata mwizi!
Shame on u!
[HASHTAG]#PYTHONWAKIUMEAU?![/HASHTAG]
Mda mfupi sana huo kujisifia...Maisha baada kabla ya kuoa its totally different ukioa nyumbani unarudi saa mbili ukichelewa unakuwa na sababu za kueleza why late
Ukiwa bachelor unajiamulia unakua dictator wa maisha yako
Nina like miezi tangu niwe mume and proud of it
Haha PoleMkuu mbona jana hukunambia haya uliyoyasema jana...mm ndo yule jamaa



Unataka kutuambia hata mama yako mzazi naye alishindwa kuishi na Baba yako????hivi mara ya mwisho kuwa kwenye mahusiano sijui ni lini.sina hata hisia na mwanaume .akili zenu moja .
Umeua BRNNdio maana mimi sichangii michango ya harusi kwa sababu najiona nakuwa au nitakuwa sehemu ya chanzo cha shida na mahangaiko ya wanadamu hao.
Usiogope, sio wote wenye roho ngumu. Wenye huruma, busara na upendo tupoJamani ndoa hizi mpaka naogopa kuingia mweh![]()
Mkuu ni joke tu hiiHaahaaa,Gentlemen wa Dar haoo..kusimulia yasiyokuwa yao utafikiri ametumwa