Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,936
- 30,049
Bila shaka litakua ni eneo la biashara kama ile ya pale kwenye kituo cha mafuta....tofauti ni wa hapo watakua classic kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app







Ilikuwa ya mtu mwingine yeye kaboresha na katengeneza design yake na pia kaweka management yake.Hiyo Bar ipo siku nyingi ana maana gani kusema anazindua au ilikarabatiwa mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa mbona Irene wakawaida tuMkuu mfano mimi hapa nipate tu chance ya kumla irene hata kama ni kwa masimango haijalishi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa kawaida ukimfananisha na nani mkuu?Hahaaa mbona Irene wakawaida tu
Last minute before......hujazima.Hilo jina 'last minute lounge' ni last minute kabla ya kufanya nini au tukio gani kwa anayekwenda hapo? Halafu maana ya lounge ni chumba cha ku-relax au kusubiria, mfano, airport. Sasa hiyo relax ya last minute au subiria ya last minute ni ya nini?
Hahaaaa jana alikuwa amelewa, Mimi nilkuwa nimekaaa karibu na mlango wa kuingia ndani kwenye lounge sasa yeye akawa anaongea na mashosti wake karibu yangu. Pale maongezi yaliponoga kabla wowowo lake likanigusa aiseeee kama nilipigwa shot, nilistuka hadi akajua akaniambia sorry dia... Wakati huo mie natamani aendeleee kunigusishaWa kawaida ukimfananisha na nani mkuu?
Cheki ule mguu bob!
Amezaa lakini chuchu saa 5 na nusu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mkuu unaweza pata kesi ya ubakaji bure..Hahaaaa jana alikuwa amelewa, Mimi nilkuwa nimekaaa karibu na mlango wa kuingia ndani kwenye lounge sasa yeye akawa anaongea na mashosti wake karibu yangu. Pale maongezi yaliponoga kabla wowowo lake likanigusa aiseeee kama nilipigwa shot, nilistuka hadi akajua akaniambia sorry dia... Wakati huo mie natamani aendeleee kunigusisha
Wadangaji wastaarab wapo? Tuje kujibebeaWana JF Umofia kwenu usiku wangu wa kuamkia tarehe hii 22/02/2019, Nimeutumia hapa Last Minute Lounge iliyopo sinza mori mbele ya La Chaaz njia ya kuelekea Wanyama Hotel.
Hakika ni usiku mzuri na wakupendeza kwenye hii siku maalumu ya ufunguzi wa pub ya dada yeru Irene Uwoya;
- Full of enjoyment
- music mzuri chini ya djommycrazy
- watu wastaarabu sio wahuni.
And alot of enjoyments, kama upo au ulikuwepo mahali hapa share feelings zako.
Mia
Ole wako unitorokeBby jana tusingekuwa huru watu nyomk ile mbaya leo kama kawa nitakushtua tuende.
Hahaaaa jana alikuwa amelewa, Mimi nilkuwa nimekaaa karibu na mlango wa kuingia ndani kwenye lounge sasa yeye akawa anaongea na mashosti wake karibu yangu. Pale maongezi yaliponoga kabla wowowo lake likanigusa aiseeee kama nilipigwa shot, nilistuka hadi akajua akaniambia sorry dia... Wakati huo mie natamani aendeleee kunigusisha





Mkuu mfano mimi hapa nipate tu chance ya kumla irene hata kama ni kwa masimango haijalishi..
Sent using Jamii Forums mobile app





Sawa dada Irene tutakujaUshindwe wewe best
Unatumia Tekno gani?Huko google haipo hata, hii post ndio imepeleka google hilo jina View attachment 1029689