joseph johaness
Member
- Jul 31, 2017
- 37
- 15
Habari ndugu zangu bila shaka mu wazima.
Mimi naomba kusaidiwa kuna mtu yeyote mwenye uzoefu na hii casino au alishawahi kufanya kazi hapo na vipi taratibu zao na mishahara yao na je nafasi zipi zilizopo apo kwa beginners.
Asante.
Mimi naomba kusaidiwa kuna mtu yeyote mwenye uzoefu na hii casino au alishawahi kufanya kazi hapo na vipi taratibu zao na mishahara yao na je nafasi zipi zilizopo apo kwa beginners.
Asante.