Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 2,563
- 7,321
Wakati vyombo vingi hapa Bongo vinewekwa Chini ya makwapa ya serikali, muandishi kutoka Kenya "Larry Madowo" ameendelea kutoa somo kwa wanahabari ya namna ya kuripoti habari bila kuegemea upande na bila kificho na kuzudi kujipatia umaarufu mkubwa Tanzania.
View: https://www.instagram.com/reel/DRZ8ExGAmE6/?igsh=ZDJvNDAyZTlvazg0
View: https://www.instagram.com/reel/DRZ8ExGAmE6/?igsh=ZDJvNDAyZTlvazg0