Hao mapimbi wanaomtukana Larry ndo watekaji, wauaji wa WatanganyikaMwandishi wa chombo cha habari CNN mwenye uraia wa kenya Larry Madowo ameshare baadhi za ujumbe anazotumiwa DM za matusi na vitisho baada ya kuchunguza na kuripoti mauaji ya kikatili ya waandamanaji yaliyotoke Oktoba 29
Hao ndiyo vijana wenu waliojaza huko kwenye idara(TISS) ambao mnawategemea katika usalama wa taifa la Tanzania(katika nchi za Tanganyika na Zanzibar).Mwandishi wa chombo cha habari CNN mwenye uraia wa kenya Larry Madowo ameshare baadhi za ujumbe anazotumiwa DM za matusi na vitisho baada ya kuchunguza na kuripoti mauaji ya kikatili ya waandamanaji yaliyotoke Oktoba 29