bishoke
JF-Expert Member
- Jan 12, 2010
- 274
- 52
Wakubwa nina tatizo na laptop yangu hp kuto kuchaji betrii. Nili consult watu wakaniambia kuwa yaweza kuwa betri mbovu. Nimenunua betri mpya lakini tatizo halikumalizika.
Mwenye msaada anisaidie kabla sijawapelekea mafundi kuitengeneza au kuiharibu zaidi.
Asanteni.
Mwenye msaada anisaidie kabla sijawapelekea mafundi kuitengeneza au kuiharibu zaidi.
Asanteni.