Prince Akeem
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 884
- 375
- Thread starter
- #121
Kwa mara nyingine narudi tena DUCE, sitachoka japo najua nitakuta nyomi kama la PPF!
ukichoka ni ukiwa umepata au unataka kujiajir
Kwa mara nyingine narudi tena DUCE, sitachoka japo najua nitakuta nyomi kama la PPF!
Tayari kilingeni DUCE, itafahamika tuu!
Tayari kilingeni DUCE, itafahamika tuu!
Tayari kilingeni DUCE, itafahamika tuu!
Nn kinaendelea huko mkuu. Maana nipo veta hapa naic km nachelewa
FOREVER LIVING
COMPANY
Je!! Kuna mtu unamfahamu
1. Anatafutampango kazi utakaomwezesha kustaafu miaka 5-10 akiwa na kipato maradufu?
2. Anatafuta njia ya kuongeza kipato cha ziada?
3. Ni mama na ungependa kukaa nyumbani na kulea watoto huku ukitengeneza kipato kizuri?
4. Ni mwanachuo unayetafuta njia mbadala ya kutafuta kipato kizuri?
Tuwasiliane; 0768 577 654
email; izackmanase@gmail
.com
fb : www.facebook.com//
Izack Manase
SAMBAZA UJUMBE HUU KWA WALENGWA UNAOWAFAHAMU. UWAOKOE NA UMASKINI ILI WATIMIZE NDOTO ZAO.
kaka mi sikufanya interview kwani niliamua kutokwenda kutokana na mambo mengijaman vip bado hajaitwa mtu
jaman vip bado hajaitwa mtu
duuh! hili nyomi la hapa balaa! halaf hadi saa hizi bado hakijaeleweka
accountant post tulikuwa sabini na ilikuwa ni CPA(T). afu tofautisha kati ta kusaka ajira na kusaka maslahi zaididaah siku hizi CPAs zimekua nyingi sana, NBAA waanze kukaza papers kwani watu wana CPA halafu hawana kazi, inaakuwa haina maana ya professional degrees
accountant post tulikuwa sabini na ilikuwa ni CPA(T). afu tofautisha kati ta kusaka ajira na kusaka maslahi zaidi
kama hukupata simu ujue hukupatatena ilishiliaje mkuu siwalisema majibu siku ile ile